Mh. Zitto na Martin Luther King

Mh. Zitto na Martin Luther King

Status
Not open for further replies.

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
ukisoma historia utaliona jina moja Martin luther king ALIAMINI katika yafuatayo katika muktadha wa TANZANIA

kuwa na haki sawa baina ya watanzania wote either uwe unatoka kaskazini mwa nchi au kusini au kule kigoma
mtu asipewe heshima au asivunjiwe heshima kutokana na kabila lake hata kama wewe mchaga au wewe ni muha mpewe haki sawa
mtu asibaguliwe kwa sababu ya dini yake au kwakuwa dini yake si sawa na yako hivyo unambagua
vilevile msimbague mtu kwakuwa anamawazo tofauti na wewe hiyo ni haki yake

KWANN MH ZITO

1.ANAFANANA na MARTIN LUTHER KING kwani anapigania maslahi ya watanzania wote bila kujali ukanda,udini,ukabila,na kila aina ya ubaguzi.
2. MARTIN LUTHER alikuwa na dream kuwa hata mmarekani mweusi aweza kuwa raisi au kuwa mwenyekiti wa republican au democrats kwan kinachoangaliwa ni uwezo na si mtu na ndoto zake zilifanikiwa kuwa kweli pale OBAMA ALIPOKUA RAIS MWEUSI AMERIKA
3. NAAMINI kuwa MH ZITO ANADREAM ZA MARTIN LUTHER KING INGAWA KAMA WAMAREKANI WEUPE KWAKUWA WALIKUA WABAGUZI HAWAKUAMINI ILA WAMAREKANI WEUSI WALIAMINI HIYO NI KWELI NA DREAM IKAWA KWELI
MY TAKE
KAMA WAMAREKANI WEUPE KWA SABABU YA UBAGUZI WAO WALIAMINI MTU MWEUSI HAWEZI KUWA KIONGOZI SAME APPLY KUWA MH ZITO KWA KUWA HATOKI UKANDA FULANI HAWEZI KUFIKIA HIS DREAM LAKINI SHIKA HILI MH ZITO NA MARTIN LUTHER IDEAS RESEMBLE MSICHANGAE JIWE MLILOLIKATA LIKAWA NDIO JIWE KUU LA PEMBENI
 
I have a dreams that oneday the segragation politics will no longer be a part of inhumanization in our coutry.
 
Zitto anafanana na Martini Luther kwa sifa chache sana, kwanza wote ni Wanadamu, pili Luther na Zitto ni Waafrika (Ingwa Luther wanasema mmarekani mwenye asili ya Afrika). Unaharibu dini ya Wakristo kwa kufananisha msemo wa Yesu wa jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa jiwe kuu la msingi kwa kufananisha na Zitto. Ukitoa sifa hizo hana sifa nyingine ya kumfananisha na Martine Luther King. Ndio maana watu wanaona kama umekula bangi mchana.
 
Uwezi kumlinganisha Martin Luther king na Zitto kabwe; Msimamo wa Luther ulikuwa dhahili na hakupata kuyumbiswa; Hakuna aliyepata hata kuhisi tu kwamba Luther King alitaka kuwasaliti watu weusi. Luter hakuna na elements za ukinyonga, Luther aliongoza kupanga mikakati ya ukombozi wa mtu mweusi na kusimama kwa miguu yake hadi anauawa . Leo hii tunaambiwa mtu alinyamaziswa na Scandal za mikataba ya uchimabji madini yaneye utata, ohoo mara CCM wanampendekeza na wangefurahi yeye awe Mgombea wa uenyekiti wa CHADEMA taifa.Hakuna mtu mweupe alipata udhubutu wa kumrubuni Luther ili awasaliti watu weusi. Hapana ndg yangu haujamtendea haki ya Martin Luthe King kwa kumlinganisha na Zitto. Luther alikuwa na dream...ambayo imekuja kutimizwa na Obama.Labda tukuulize dream ya kusambaratisha upinzani ndio ya rafiki yako Zitto????au anaye ndoto ya kuakikisha CCM inatawala milele na watanzania waendele kuwa masikini milele.
 
soma hii kitu kwanza halafu uone ni jinsi gani zitto hawezi kujiringanisha na martin luther.


i am happy to join with you today in what will go down in history as the greatest demonstration for freedom in the history of our nation.
Five score years ago,
a great american, in whose symbolic shadow we stand today, signed the emancipation proclamation. This momentous decree came as a great beacon light of hope to millions of negro slaves who had been seared in the flames of withering injustice. It came as a joyous daybreak to end the long night of their captivity.
But one hundred years later, the negro still is not free. One hundred years later, the life of the negro is still sadly crippled by the manacles of segregation and the chains of discrimination. One hundred years later, the negro lives on a lonely island of poverty in the midst of a vast ocean of material prosperity. One hundred years later, the negro is still languished in the corners of american society and finds himself an exile in his own land. And so we've come here today to dramatize a shameful condition.
In a sense we've come to our nation's capital to cash a check. When the architects of our republic wrote the magnificent words of the constitution and the
declaration of independence, they were signing a promissory note to which every american was to fall heir. This note was a promise that all men, yes, black men as well as white men, would be guaranteed the "unalienable rights" of "life, liberty and the pursuit of happiness." it is obvious today that america has defaulted on this promissory note, insofar as her citizens of color are concerned. Instead of honoring this sacred obligation, america has given the negro people a bad check, a check which has come back marked "insufficient funds."
but we refuse to believe that the bank of justice is bankrupt. We refuse to believe that there are insufficient funds in the great vaults of opportunity of this nation. And so, we've come to cash this check, a check that will give us upon demand the riches of freedom and the security of justice.
We have also come to this hallowed spot to remind america of the fierce urgency of now. This is no time to engage in the luxury of cooling off or to take the tranquilizing drug of gradualism. Now is the time to make real the promises of democracy. Now is the time to rise from the dark and desolate valley of segregation to the sunlit path of racial justice. Now is the time to lift our nation from the quicksands of racial injustice to the solid rock of brotherhood. Now is the time to make justice a reality for all of god's children.
It would be fatal for the nation to overlook the urgency of the moment. This sweltering summer of the negro's legitimate discontent will not pass until there is an invigorating autumn of freedom and equality. Nineteen sixty-three is not an end, but a beginning. And those who hope that the negro needed to blow off steam and will now be content will have a rude awakening if the nation returns to business as usual. And there will be neither rest nor tranquility in america until the negro is granted his citizenship rights. The whirlwinds of revolt will continue to shake the foundations of our nation until the bright day of justice emerges.
But there is something that i must say to my people, who stand on the warm threshold which leads into the palace of justice: In the process of gaining our rightful place, we must not be guilty of wrongful deeds. Let us not seek to satisfy our thirst for freedom by drinking from the cup of bitterness and hatred. We must forever conduct our struggle on the high plane of dignity and discipline. We must not allow our creative protest to degenerate into physical violence. Again and again, we must rise to the majestic heights of meeting physical force with soul force.
The marvelous new militancy which has engulfed the negro community must not lead us to a distrust of all white people, for many of our white brothers, as evidenced by their presence here today, have come to realize that their destiny is tied up with our destiny. And they have come to realize that their freedom is inextricably bound to our freedom.
We cannot walk alone.
And as we walk, we must make the pledge that we shall always march ahead.
We cannot turn back.
There are those who are asking the devotees of civil rights, "when will you be satisfied?" we can never be satisfied as long as the negro is the victim of the unspeakable horrors of police brutality. We can never be satisfied as long as our bodies, heavy with the fatigue of travel, cannot gain lodging in the motels of the highways and the hotels of the cities. We cannot be satisfied as long as the negro's basic mobility is from a smaller ghetto to a larger one. We can never be satisfied as long as our children are stripped of their self-hood and robbed of their dignity by signs stating: "for whites only." we cannot be satisfied as long as a negro in mississippi cannot vote and a negro in new york believes he has nothing for which to vote. No, no, we are not satisfied, and we will not be satisfied until "justice rolls down like waters, and righteousness like a mighty stream."¹
i am not unmindful that some of you have come here out of great trials and tribulations. Some of you have come fresh from narrow jail cells. And some of you have come from areas where your quest -- quest for freedom left you battered by the storms of persecution and staggered by the winds of police brutality. You have been the veterans of creative suffering. Continue to work with the faith that unearned suffering is redemptive. Go back to mississippi, go back to alabama, go back to south carolina, go back to georgia, go back to louisiana, go back to the slums and ghettos of our northern cities, knowing that somehow this situation can and will be changed.
Let us not wallow in the valley of despair, i say to you today, my friends.
And so even though we face the difficulties of today and tomorrow, i still have a dream. It is a dream deeply rooted in the american dream.
I have a dream that one day this nation will rise up and live out the true meaning of its creed: "we hold these truths to be self-evident, that all men are created equal."
i have a dream that one day on the red hills of georgia, the sons of former slaves and the sons of former slave owners will be able to sit down together at the table of brotherhood.
I have a dream that one day even the state of mississippi, a state sweltering with the heat of injustice, sweltering with the heat of oppression, will be transformed into an oasis of freedom and justice.
I have a dream that my four little children will one day live in a nation where they will not be judged by the color of their skin but by the content of their character.
I have a dream today!
I have a dream that one day, down in alabama, with its vicious racists, with its governor having his lips dripping with the words of "interposition" and "nullification" -- one day right there in alabama little black boys and black girls will be able to join hands with little white boys and white girls as sisters and brothers.
I have a dream today!
I have a dream that one day every valley shall be exalted, and every hill and mountain shall be made low, the rough places will be made plain, and the crooked places will be made straight; "and the glory of the lord shall be revealed and all flesh shall see it together."[sup]2[/sup]
this is our hope, and this is the faith that i go back to the south with.
With this faith, we will be able to hew out of the mountain of despair a stone of hope. With this faith, we will be able to transform the jangling discords of our nation into a beautiful symphony of brotherhood. With this faith, we will be able to work together, to pray together, to struggle together, to go to jail together, to stand up for freedom together, knowing that we will be free one day.
And this will be the day -- this will be the day when all of god's children will be able to sing with new meaning:
my country 'tis of thee, sweet land of liberty, of thee i sing.
Land where my fathers died, land of the pilgrim's pride,
from every mountainside, let freedom ring!
and if america is to be a great nation, this must become true.
And so let freedom ring from the prodigious hilltops of new hampshire.
let freedom ring from the mighty mountains of new york.
Let freedom ring from the heightening alleghenies of pennsylvania.
Let freedom ring from the snow-capped rockies of colorado.
Let freedom ring from the curvaceous slopes of california.
but not only that:
let freedom ring from stone mountain of georgia.
Let freedom ring from lookout mountain of tennessee.
Let freedom ring from every hill and molehill of mississippi.
From every mountainside, let freedom ring.
and when this happens, and when we allow freedom ring, when we let it ring from every village and every hamlet, from every state and every city, we will be able to speed up that day when all of god's children, black men and white men, jews and gentiles, protestants and catholics, will be able to join hands and sing in the words of the old negro spiritual:
free at last! Free at last!
thank god almighty, we are free at last!
 
haya ni matusi kwa wa lutheran aisee...ningekuwa mlutheri ungenisababishia ban aisee
anazungumziwa martin luther wa amerika si wa germani akili ndogo vs akili kubwa
 
Leo nimemsikia DW mchana anajikanyanga na FEDHA za uswis. huyu jamaa ni mnafiki kupindukia. Kipindi kile walipomuingiza kwenye kamati ya madi alitaka hata kuwasaliti watu wa kigoma na kwenda kugombea ubunge jimbo la Geita ili aendelee kuwalinda mafisadi wa madini vizuri ndo huyo unamfananisha martin kichekeso.

Martin hakuwahi kujilimbikizia mali kisa anafanya kazi za jamii haka kajamaa nasikia kanamiliki gali la mamilioni ya shillingi kantumia hilo kwenda kuwatetea watanzania ambao hata baiskeli ya miti kwao ni tatizo. Upuuzi.

Ukwli ni kwamba Tanzania hatuna mwanasiasa hata mmoja ambaye ni Mzalendo wote wachumia tumbo. Tokea huyo jamaa alipokuja na ngonjera zake hizo za uswis siku hizi naye kawa John Mtembezi. Kodi yetu hiyo

Kuweni makini na haya mambo
 
anazungumziwa martin luther wa amerika si wa germani akili ndogo vs akili kubwa
What ever, Mtu mwenye Taahira ya akili anaweza kufanya such a Comparison.
BTW, wewe ni Mke wa Zitto, Maana huachi kumsifia na kumtaja kila siku kila wakati
 
acha wivu kijana tafuta
Leo nimemsikia DW mchana anajikanyanga na FEDHA za uswis. huyu jamaa ni mnafiki kupindukia. Kipindi kile walipomuingiza kwenye kamati ya madi alitaka hata kuwasaliti watu wa kigoma na kwenda kugombea ubunge jimbo la Geita ili aendelee kuwalinda mafisadi wa madini vizuri ndo huyo unamfananisha martin kichekeso.

Martin hakuwahi kujilimbikizia mali kisa anafanya kazi za jamii haka kajamaa nasikia kanamiliki gali la mamilioni ya shillingi kantumia hilo kwenda kuwatetea watanzania ambao hata baiskeli ya miti kwao ni tatizo. Upuuzi.

Ukwli ni kwamba Tanzania hatuna mwanasiasa hata mmoja ambaye ni Mzalendo wote wachumia tumbo. Tokea huyo jamaa alipokuja na ngonjera zake hizo za uswis siku hizi naye kawa John Mtembezi. Kodi yetu hiyo

Kuweni makini na haya mambo
 
akili ndogo hutumia matusi kama njia ya kujibu hoja nenda pale kariakoo wauza matikiti wasikilize utajua akili ndogo nazungumzia zipi
 
Kwani yeye anabihashara ipi inamuingizia hela mpaka utajiri kama si wizi wa mali za umma yaani mali yangu na wewe. Ila watanzania huwa hamjambo kwa kuwatetea wezi kisa kwenye kampeni ulipewa wali au kangha. Bado tuna njia ndefu kuelekea kwenye kutoka kama tunaona tuna wivu kwa kuwaweka wazi wahujumu uchumi wetu.
acha wivu kijana tafuta
 
Acha kumdhalilisha Martin luther king... Nenda katafakari kwanza ndiyo uje hapa jf
. MARTIN LUTHER KING UNAMJUA AMA UMEHADITHIWA? Kajipange...
 
huo ubaguzi anauona zitto tu ama ndo unamhusu zaidi yeye?
Mbona wengine hawalalamiki na wala hawajafikia nafasi hata ya naibu wa katibu mkuu kama alivyo yeye?
Hapa ndo hata watu wengine tunapata hofu kweli kuwa yawezana kukawa kweli na nguvu nyingine nyuma yake.
Binafsi namkubali huyu kijana ila kwa mambo kama haya, inatia wasiwasi kwani sasa mpaka Nape anamsaidia waziwazi.

Nachoamini kwa sasa ni kuwa uchaguzi unaweza ukawa na madhara makubwa ndani ya chama kwani viongozi wapya watatumia muda mwingi kujipambanua walivyo kitu ambacho uchaguzi mkuu upo jirani sana.
 
ukisoma historia utaliona jina moja Martin luther king ALIAMINI katika yafuatayo katika muktadha wa TANZANIA

kuwa na haki sawa baina ya watanzania wote either uwe unatoka kaskazini mwa nchi au kusini au kule kigoma
mtu asipewe heshima au asivunjiwe heshima kutokana na kabila lake hata kama wewe mchaga au wewe ni muha mpewe haki sawa
mtu asibaguliwe kwa sababu ya dini yake au kwakuwa dini yake si sawa na yako hivyo unambagua
vilevile msimbague mtu kwakuwa anamawazo tofauti na wewe hiyo ni haki yake

KWANN MH ZITO

1.ANAFANANA na MARTIN LUTHER KING kwani anapigania maslahi ya watanzania wote bila kujali ukanda,udini,ukabila,na kila aina ya ubaguzi.
2. MARTIN LUTHER alikuwa na dream kuwa hata mmarekani mweusi aweza kuwa raisi au kuwa mwenyekiti wa republican au democrats kwan kinachoangaliwa ni uwezo na si mtu na ndoto zake zilifanikiwa kuwa kweli pale OBAMA ALIPOKUA RAIS MWEUSI AMERIKA
3. NAAMINI kuwa MH ZITO ANADREAM ZA MARTIN LUTHER KING INGAWA KAMA WAMAREKANI WEUPE KWAKUWA WALIKUA WABAGUZI HAWAKUAMINI ILA WAMAREKANI WEUSI WALIAMINI HIYO NI KWELI NA DREAM IKAWA KWELI
MY TAKE
KAMA WAMAREKANI WEUPE KWA SABABU YA UBAGUZI WAO WALIAMINI MTU MWEUSI HAWEZI KUWA KIONGOZI SAME APPLY KUWA MH ZITO KWA KUWA HATOKI UKANDA FULANI HAWEZI KUFIKIA HIS DREAM LAKINI SHIKA HILI MH ZITO NA MARTIN LUTHER IDEAS RESEMBLE MSICHANGAE JIWE MLILOLIKATA LIKAWA NDIO JIWE KUU LA PEMBENI

Sasa unataka kutuambia Tanzania haitawaliwi na watu weusi? sababu sioni coloration yoyote kati ya ZITTO na MARTIN LUTHER

Sidhani Zitto aliishi kwenye nchi ya kibaguzi: labda sasa utawala huu mpya ´´kwahiyo usijaribu kutuchanganya na kuleta bogus ideas… please….
 
Sasa unataka kutuambia Tanzania haitawaliwi na watu weusi? sababu sioni coloration yoyote kati ya ZITTO na MARTIN LUTHER

Sidhani Zitto aliishi kwenye nchi ya kibaguzi: labda sasa utawala huu mpya ´´kwahiyo usijaribu kutuchanganya na kuleta bogus ideas… please….
yani inahitaji kwenda shule ili ujue mh zito anabaguliwA KASOME RIPOTI YA SIRI UTAONA DK SLAA KAGONGA LIKE ALAFU ANSEMA ZITO NI KIONGOZI WETU HY NI CONSPIRACY THEORY
 
sasa unataka kutuambia tanzania haitawaliwi na watu weusi? Sababu sioni coloration yoyote kati ya zitto na martin luther

sidhani zitto aliishi kwenye nchi ya kibaguzi: Labda sasa utawala huu mpya ´´kwahiyo usijaribu kutuchanganya na kuleta bogus ideas… please….
soma thread uelewe martin luther king kwa muktadha wa tz ni fumbo wajinga hawawezi ng'amua
 
LEMA KASKAZINI
DK[
MBOWE
MNYIKA
MDEE
MTEIQ
NDESAMBURO
SELASINI
VS MUHA NYERERE ALISEMA RAIS ASIWE MCHAGA AU MHAYA know y? QUOTE=kipimo;7860723]huo ubaguzi anauona zitto tu ama ndo unamhusu zaidi yeye?
Mbona wengine hawalalamiki na wala hawajafikia nafasi hata ya naibu wa katibu mkuu kama alivyo yeye?
Hapa ndo hata watu wengine tunapata hofu kweli kuwa yawezana kukawa kweli na nguvu nyingine nyuma yake.
Binafsi namkubali huyu kijana ila kwa mambo kama haya, inatia wasiwasi kwani sasa mpaka Nape anamsaidia waziwazi.

Nachoamini kwa sasa ni kuwa uchaguzi unaweza ukawa na madhara makubwa ndani ya chama kwani viongozi wapya watatumia muda mwingi kujipambanua walivyo kitu ambacho uchaguzi mkuu upo jirani sana.[/QUOTE]
 
Acha kumdhalilisha Martin luther king... Nenda katafakari kwanza ndiyo uje hapa jf
. MARTIN LUTHER KING UNAMJUA AMA UMEHADITHIWA? Kajipange...

akili ndogo vs akili kubwa uleule ubaguzi uliopo kwny uzi umeudhihirisha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom