Tumeshuhudia yaliyotokea Kenya!! Ndiyo uliyopendekeza kwenye rasimu yako. Tumeitupilia mbali tunaishi unafiki usiofuata katiba yoyote,iwe ile mbovu iliyopo wala isiyokuwepo duniani. Tafadhali baba rudi na rasimu yako.
Kenya pamoja na uchanga wake,pamoja na ushiriki wake Mdogo katika ukombozi kwa nchi za Afrika,imeongoza kuwa nchi ya kidemokrasia.
Tafadhali baba rudi na rasimu yako.
Wakati Kenya wakiwa na mihimili mitatu iliyo na nguvu na heshima katika Taifa,sisi hatuna jaji mkuu,mahakama imekuwa briefcase ya mh. Asipoifungua hakua haki inayotoka na kinyune chake.
Tafadhali baba rudi na rasimu yako.
HONGERA KENYA KUWA KIOO CHA DEMOKRASIA AFRIKA. NATAMANI KUWA MWANAKENYA.
Kenya pamoja na uchanga wake,pamoja na ushiriki wake Mdogo katika ukombozi kwa nchi za Afrika,imeongoza kuwa nchi ya kidemokrasia.
Tafadhali baba rudi na rasimu yako.
Wakati Kenya wakiwa na mihimili mitatu iliyo na nguvu na heshima katika Taifa,sisi hatuna jaji mkuu,mahakama imekuwa briefcase ya mh. Asipoifungua hakua haki inayotoka na kinyune chake.
Tafadhali baba rudi na rasimu yako.
HONGERA KENYA KUWA KIOO CHA DEMOKRASIA AFRIKA. NATAMANI KUWA MWANAKENYA.