Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
WanaJF, Kitendo cha mheshimiwa mama Makinda kumjibu waziri Mkulo kuwa mh. waziri hayo siyo majibu huku akiwa na uso unaonesha kuwa amekasirishwa na majib fake kimepokelewa tofauti na watu mbalimbali. Mimi binafsi nimepata tafsri kuwa speaker ameona ukweli kuwa katika CCM na serikali yake ni matendo yako mazuri tu ndiyo yatakayokusaidia mbele ya safari na si kutetea chama wala serikali yake. Na wanazi wa ccm na serikali yake wakishaondoka kwenye nafasi nusu ya wabongo wanadelete namba zao. Wanajamii wengine mnalionaje hili?