Nimekuwa nikifuatilia makala mbalimbali za huyu mtu anaitwa Mwanakijiji, katika makala hizo anaonekana ni mtu wenye ufahamu mzuri, mbali ya kuwa data za kumwaga! Lakini kuna hili la kumtajataja Mh RAIS ..linanitia Jakamoyo! Hata kama sikumchagua LAKINI ...!
Katika makala ya Tanzania Dima JANA jamaa anasema wazi kuwa Rais aeleze anahusikaje suala la DOWANS! Hapa haulizi kama alihusika ! Anahoji alihusikaje !
Kwa mamlaka aliyopewa Rais na katiba yetu shutma hizi ni nzito .....! Mkuu anatakiwa aibuke azitolee maelezo au awashughulikie wanaomsema ...la sivyo kama hana majibu, basi wenye akili tutaanza kuoona ni kweli! Na kumbuka hata uongo ukirudiwarudiwa, unabadilishwa na kuwa ukweli! BABA inuka useme, au basi wadhibiti watu wako ...kama unaweza!
Kinyume cha hapo hawa kina Mwanakijiji wataendelea kukuharibu ...au labda unajiharibia mwenyewe!
Kumbuka watu hawa ni wengi, muulize yalivyomwuuliza TYSON wako kule Bunda, je unajuaje ni Watanzania wote wanajiuliza maswali hayo?
Niliwahi kusoma makala ya mwanakijiji kuhusu CCJ kwamba chama makini kitaleta changes two days later hamna cha CCJ wala harufu yake.
Mwanakijiji mbona kawaida tu wanaomsujudia poa tu lakni kwa ufupi HAJULIKANI hatujawahi ona kaalikwa hata kwenye tv kama wachambuzi wengine.
Kuhusu kujibu jk anaamini katika uhuru wa kutoa maoni..mwanakijiji analijua hilo ndo maana anaropoka bila breki angejaribu enzi za Nyerere ama hata mkapa angefia kizuizini.
Na jk hana shida ya kujibu kwa shinikizo la akina mwanakijiji .
Mwanakijiji alikua wapi kumuuliza mkapa kuhusu umiliki wake wa benki M
mimi namuomba mhe sana aanze kukutia adabu wewe kwanza
Nimekuwa nikifuatilia makala mbalimbali za huyu mtu anaitwa Mwanakijiji, katika makala hizo anaonekana ni mtu wenye ufahamu mzuri, mbali ya kuwa data za kumwaga! Lakini kuna hili la kumtajataja Mh RAIS ..linanitia Jakamoyo! Hata kama sikumchagua LAKINI ...!
Katika makala ya Tanzania Dima JANA jamaa anasema wazi kuwa Rais aeleze anahusikaje suala la DOWANS! Hapa haulizi kama alihusika ! Anahoji alihusikaje !
Kwa mamlaka aliyopewa Rais na katiba yetu shutma hizi ni nzito .....! Mkuu anatakiwa aibuke azitolee maelezo au awashughulikie wanaomsema ...la sivyo kama hana majibu, basi wenye akili tutaanza kuoona ni kweli! Na kumbuka hata uongo ukirudiwarudiwa, unabadilishwa na kuwa ukweli! BABA inuka useme, au basi wadhibiti watu wako ...kama unaweza!
Kinyume cha hapo hawa kina Mwanakijiji wataendelea kukuharibu ...au labda unajiharibia mwenyewe!
Kumbuka watu hawa ni wengi, muulize yalivyomwuuliza TYSON wako kule Bunda, je unajuaje ni Watanzania wote wanajiuliza maswali hayo?
thread zingine unaweza kujuta kwanini ulipoteza muda kuifungua! Hii ni zaidi ya crap