Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Ikiwa tena mwisho wa mwezi na nchi ikiwa kwenye hali mbaya kiutawala,sijui huyu muheshimiwa atakuja na majibu gani kwenye masuala ya msingi yanayohusu mustakabali wa Taifa hili. Migomo ya madaktari,migomo ya walimu,sheria wza mifuko ya hifadhi,ajali ya MV Stagit,Rushwa iliyokithiri bungeni..nk,n.k....Ngoja tuone.