seriously??Labda mkulu anawaogopa
si amesema ni cuf ?Mkulu "hawatapita, nasema hawatapita, never!
Wanafanya vitendo vya uhuni uhuni"
Mkulu hapa kuna jambo limefichikia aiseeh.
seriously??
unajua haujui rais ni nani!! hilo tu
Akaongezea labda waokoke!!
Naona anadhani bado UCHAGUZI na yuko kwenye kampeni,in short hajui kama yeye ni RAIS mpaka sasa
seriously??
unajua haujui rais ni nani!! hilo tu
Mkuu wa nchi anatoa vitisho km hivi kwa ukali kabisa....siku moja baadae watu wanatenda yaleyale. nafikiri ilikuwa kumpelekea ujumbe kwamba wapo na nguvu zao zipo vilevile. ila shaka kuna wanachotaka kusikia tofauti na mikwara na bahati mbaya hakuna kiongozi yeyote aliyeng'amua hilo...nina hofu siku moja tunaweza kusikia yamewakuta viongozi wakubwa haya mambo!!!