Ummu Aym
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 282
- 133
Kweli mkuu? Naona Simba kisha wanyamazisha nahisi hata Wanatabora wa mjini watapoa tu.
nani amnyamazishe???? hatumtakiiiiiiiiiiiiiii!!
Kweli mkuu? Naona Simba kisha wanyamazisha nahisi hata Wanatabora wa mjini watapoa tu.
Hakuna mtu wa kumngoa rage tabora. Nadhani wanasiasa wa conservative union wanahitaji kutathmini madhara ya siasa za uongo na kupakaza chuki kama kweli ni mtaji wa kisiasa au ticketi ya kuondokea kwenye ulingo wa siasa. Tusubiri majibu ya serikali baada ya vigogo wa hiki chama kutajwa na wafanya vurugu mtwara kuwa walikuwa wanawapa maelekezo. mmwaisoba kwann actoke? lage tbr kwasasa hawampendi co kama zamani!
Hakuna mtu wa kumngoa rage tabora. Nadhani wanasiasa wa conservative union wanahitaji kutathmini madhara ya siasa za uongo na kupakaza chuki kama kweli ni mtaji wa kisiasa au ticketi ya kuondokea kwenye ulingo wa siasa. Tusubiri majibu ya serikali baada ya vigogo wa hiki chama kutajwa na wafanya vurugu mtwara kuwa walikuwa wanawapa maelekezo. Kuna haja ya kutoa mafunzo maalum kwa watu wenye elimu za kati na muda mfupi ambao hawakusoma vizuri na wanatamaa ya kuongoza nchi hii watatuingiza vitani pasipo sababu.
Kweli mkuu ugawaji wa pesa hapa lazima uhojiwe!hana ishu tabora wanamlia kama haamini asubiri next election, pili huyu jamaa ni mfanyabiashara he is not a leader, tatu ukitaka kujua ni mjanja2 muulize hizo piki2 alizotoa zitawasaidia nn wanamboka, atawanunulia wese? mwisho lengo la kugawa pesa ni nn?
Hakuna mtu wa kumngoa rage tabora. Nadhani wanasiasa wa conservative union wanahitaji kutathmini madhara ya siasa za uongo na kupakaza chuki kama kweli ni mtaji wa kisiasa au ticketi ya kuondokea kwenye ulingo wa siasa. Tusubiri majibu ya serikali baada ya vigogo wa hiki chama kutajwa na wafanya vurugu mtwara kuwa walikuwa wanawapa maelekezo. Kuna haja ya kutoa mafunzo maalum kwa watu wenye elimu za kati na muda mfupi ambao hawakusoma vizuri na wanatamaa ya kuongoza nchi hii watatuingiza vitani pasipo sababu.
Rage hasa makazi yake ni wapi?Huyu kilaza Kabla ya kuwa mbunge alikuwa anashinda sana pale kwenye club ya saigon wanachama wengi wa simba wanajua makazi yake ni ilala.