jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Kutoka Mitandaoni:
Mh Mkuu wa Mkoa wa Jiji la Dar es Salaam babalao kwa herufi ndogo ametembelea kituo cha Wanasheria Wanawake wanaojihusisha na msaada wa kisheria kwa wanawake na watoto.
Makonda amewapongeza kwa kazi kubwa wanayoifanya.
My Take:
Hili ni jibu Konki sana kwa Pompeo na waliompotosha!
Mh Mkuu wa Mkoa wa Jiji la Dar es Salaam babalao kwa herufi ndogo ametembelea kituo cha Wanasheria Wanawake wanaojihusisha na msaada wa kisheria kwa wanawake na watoto.
Makonda amewapongeza kwa kazi kubwa wanayoifanya.
My Take:
Hili ni jibu Konki sana kwa Pompeo na waliompotosha!