Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Mambo ya ile mgodi wa TulawakaHuyo nchambi mwarabu feki ccm imemfilisi mpaka kaua kampuni yake ya mabasi ya Mombasa raha
Mambo ya ile mgodi wa TulawakaHuyo nchambi mwarabu feki ccm imemfilisi mpaka kaua kampuni yake ya mabasi ya Mombasa raha
Hii imetokea wakati wa mjadala kuhusu bajeti ya Wizara ya Madini.
Kulitokea kupishana hoja kati ya Mh. Suleiman Nchambi na Mh.Salome Makamba.
Hawa wote ni wabunge toka mkoa wa Shinyanga. Mh. Nchambi na mbunge wa Kishapu, na Mh. Makamba ni mbunge wa viti maalum.
Katika kutetea hoja yake Mh. Suleiman Nchambi alimdhalilisha Mh. Salome Makamba kwa kudai kuwa almasi iliyopatika huko Kishapu inatosha kuvaliwa ktk kiuno cha Mh.Makamba na akamburudisha mumewe.
Spika Ndugai ndiye aliyekuwa akiongoza kikao, lakini ktk hali ya kushangaza hakuchukua hatua yoyote ile.
Binafsi siamini kama Mbunge yeyote wa CDM angetoa lugha ya namna hiyo angeachwa bila kuchukuliwa hatua na mwenyekiti wa kikao, Naibu Spika, au Spika.
Unaweza kusikiliza hapa chini kuanzia dakika 4:59
cc Salary Slip , Erythrocyte , Kalamu1 , Nguruvi3
bado wewe mkuu , shetani hajawahi kuwa na rafiki
Ukienda somalia hamna wasukuma kuna wazigua ndiyo utawapata wabunge,wasukuma hawajawahi kutoka nje ya shinge mpaka juzi mwaka 2015.Wewe ukienda Somalia kuna wabunge Wasukuma?