mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Kama Ni msukuma na amezaliwa hapo Ana haki yakuwa mbunge Kama Somalia hakuna msukuma mfano wako utakuwa wa kijingaWewe ukienda Somalia kuna wabunge Wasukuma?
Kama Ni msukuma na amezaliwa hapo Ana haki yakuwa mbunge Kama Somalia hakuna msukuma mfano wako utakuwa wa kijingaWewe ukienda Somalia kuna wabunge Wasukuma?
.Wewe ukienda Somalia kuna wabunge Wasukuma?
Mambo ya Bungeni yanaweza kumalizwa vyema huko huko Bungeni. Kwani Kambi ya upande wa pili haikuchukua hatua zinazostahili, hata kumwandikia Spika barua rasmi ya kulalamika?
WEWE HUENDA ULIKUWA TAKE AWAY KULE MOMBASASiyo kila kitu cha kujadili,fanya kazi kwa faida ya watoto wako acha umbeya na uswahili mwingi,unafatilia ya watu kama waliwahi kua wapenzi wakaachana unajuaje?unajuaje kama huyo Salome amewahi kumdhalilisha Nchambi bila macho yako kua yameona?kumbuka wote hao wanaishi Shinyanga mjini na hiyo ni tosha kukufanya wewe ufumbe kinywa chako uache kelele
Pumbav.Siyo kila kitu cha kujadili,fanya kazi kwa faida ya watoto wako acha umbeya na uswahili mwingi,unafatilia ya watu kama waliwahi kua wapenzi wakaachana unajuaje?unajuaje kama huyo Salome amewahi kumdhalilisha Nchambi bila macho yako kua yameona?kumbuka wote hao wanaishi Shinyanga mjini na hiyo ni tosha kukufanya wewe ufumbe kinywa chako uache kelele
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
..Spika ndiyo alikuwa anaongoza kikao ambacho mbunge wa ccm alimtusi mbunge wa viti maalum wa cdm.
..Kwa hiyo Spika, kwa kuwa anafahamu kanuni zinazoongoza mijadala ya bunge, alitakiwa achukue hatua muda huohuo bila kusubiri kupelekewa malalamiko.
..Lakini jambo baya zaidi, Mh.Musukuma naye alisimama na kuunga mkono kauli ya kudhalilisha iliyotolewa na Mh.Nchambi, bado Spika hakuchukua hatua.
..Sote tuna kumbukumbu ya jinsi Spika Ndugai alivyo mwepesi kuwaadhibu wabunge wa cdm kwa sababu mbalimbali.
..Sidhani kama kuna anayeamini kwamba Spika Ndugai asingetoa adhabu kali, kama kauli hizo matusi na udhalilishaji zingetolewa na mbunge wa cdm.
..Kwa hiyo hapo kuna mambo mawili. Kwanza kuna MFUMO DUME. Ule ujasiri tu wa mbunge kutoa kauli kama ili kwa mwanamke inathibitisha uwepo wa mfumo dume na UDHALILISHAJI.
..Pili, kuna suala la DOUBLE STANDARDS. Kwamba Spika huadhibu kambi ya upinzani, na wabunge wa ccm wako juu ya sheria.
Cc tindo, Nguruvi3
Siyo kila kitu cha kujadili,fanya kazi kwa faida ya watoto wako acha umbeya na uswahili mwingi,unafatilia ya watu kama waliwahi kua wapenzi wakaachana unajuaje?unajuaje kama huyo Salome amewahi kumdhalilisha Nchambi bila macho yako kua yameona?kumbuka wote hao wanaishi Shinyanga mjini na hiyo ni tosha kukufanya wewe ufumbe kinywa chako uache kelele
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Hakuna Rastafari mpumbavu Kama wewe, msitukanishe imani za watu kwa ujinga wenuSiyo kila kitu cha kujadili,fanya kazi kwa faida ya watoto wako acha umbeya na uswahili mwingi,unafatilia ya watu kama waliwahi kua wapenzi wakaachana unajuaje?unajuaje kama huyo Salome amewahi kumdhalilisha Nchambi bila macho yako kua yameona?kumbuka wote hao wanaishi Shinyanga mjini na hiyo ni tosha kukufanya wewe ufumbe kinywa chako uache kelele
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Kwa ukatili wa spika Ndugai na CCM wako tayari hata kuhakikisha wapinzani wote wanauliwa.Hii imetokea wakati wa mjadala kuhusu bajeti ya Wizara ya Madini.
Kulitokea kupishana hoja kati ya Mh. Suleiman Nchambi na Mh.Salome Makamba.
Hawa wote ni wabunge toka mkoa wa Shinyanga. Mh. Nchambi na mbunge wa Kishapu, na Mh. Makamba ni mbunge wa viti maalum.
Katika kutetea hoja yake Mh. Suleiman Nchambi alimdhalilisha Mh. Salome Makamba kwa kudai kuwa almasi iliyopatika huko Kishapu inatosha kuvaliwa ktk kiuno cha Mh.Makamba na akamburudisha mumewe.
Spika Ndugai ndiye aliyekuwa akiongoza kikao, lakini ktk hali ya kushangaza hakuchukua hatua yoyote ile.
Binafsi siamini kama Mbunge yeyote wa CDM angetoa lugha ya namna hiyo angeachwa bila kuchukuliwa hatua na mwenyekiti wa kikao, Naibu Spika, au Spika.
Unaweza kusikiliza hapa chini kuanzia dakika 4:59
cc Salary Slip , Erythrocyte , Kalamu1 , Nguruvi3
Ukiwa mpumbavu jitahidi kuuficha walau kidogo, unapotangaza upumbavu wako hadharani wanaoumia ni werevu.Mambo ya Bungeni yanaweza kumalizwa vyema huko huko Bungeni. Kwani Kambi ya upande wa pili haikuchukua hatua zinazostahili, hata kumwandikia Spika barua rasmi ya kulalamika?
Mambo ya Bungeni yanaweza kumalizwa vyema huko huko Bungeni. Kwani Kambi ya upande wa pili haikuchukua hatua zinazostahili, hata kumwandikia Spika barua rasmi ya kulalamika?
Siyo kila kitu cha kujadili,fanya kazi kwa faida ya watoto wako acha umbeya na uswahili mwingi,unafatilia ya watu kama waliwahi kua wapenzi wakaachana unajuaje?unajuaje kama huyo Salome amewahi kumdhalilisha Nchambi bila macho yako kua yameona?kumbuka wote hao wanaishi Shinyanga mjini na hiyo ni tosha kukufanya wewe ufumbe kinywa chako uache kelele
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature