imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,045
Na wale waliokimbia mauwaji ya Mkapa na Sumaye huko visiwani?Tanzania hatuna sifa ya ukimbizi, Tuendelee kudumisha Amani kwa Tanzania kimbilio la wanye njaa na taabu tuwastiri
Na wale waliokimbia mauwaji ya Mkapa na Sumaye huko visiwani?Tanzania hatuna sifa ya ukimbizi, Tuendelee kudumisha Amani kwa Tanzania kimbilio la wanye njaa na taabu tuwastiri
Afadhali bhana umenielewesha sio kama huyo Bia yetuHuyo ni Mwarabu+ Msukuma wa kuzaliwa jimbo hilo hilo la Kishapu Shinyanga
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Na wale waliokimbia mauwaji ya Mkapa na Sumaye huko visiwani?
Kujirusha fahamu hakusaidiiWale walikuwa wahamiaji waliotumwa kuvuruga amani kutoka huko middle East
Point yako ni ipi?Hii imetokea wakati wa mjadala kuhusu bajeti ya Wizara ya Madini.
Kulitokea kupishana hoja kati ya Mh. Suleiman Nchambi na Mh.Salome Makamba.
Hawa wote ni wabunge toka mkoa wa Shinyanga. Mh. Nchambi na mbunge wa Kishapu, na Mh. Makamba ni mbunge wa viti maalum.
Katika kutetea hoja yake Mh. Suleiman Nchambi alimdhalilisha Mh. Salome Makamba kwa kudai kuwa almasi iliyopatika huko Kishapu inatosha kuvaliwa ktk kiuno cha Mh.Makamba na akamburudisha mumewe.
Spika Ndugai ndiye aliyekuwa akiongoza kikao, lakini ktk hali ya kushangaza hakuchukua hatua yoyote ile.
Binafsi siamini kama Mbunge yeyote wa CDM angetoa lugha ya namna hiyo angeachwa bila kuchukuliwa hatua na mwenyekiti wa kikao, Naibu Spika, au Spika.
Unaweza kusikiliza hapa chini kuanzia dakika 4:59
cc Salary Slip , Erythrocyte , Kalamu1 , Nguruvi3
Kashfa ipo wapi hapo?Katika kutetea hoja yake Mh. Suleiman Nchambi alimdhalilisha Mh. Salome Makamba kwa kudai kuwa almasi iliyopatika huko Kishapu inatosha kuvaliwa ktk kiuno cha Mh.Makamba na akamburudisha mume
Na mwaka huu jembe Salome anamfuata huko huko Kishapu ndio maana Nchambi anajambajamba tu hapo bungeni!Salome ni jembe kamtoa kamasi Nchambi
Wewe umetoa maoni ya kijinga sana. Kama huna cha kuongea si ukae kimyaSiyo kila kitu cha kujadili,fanya kazi kwa faida ya watoto wako acha umbeya na uswahili mwingi,unafatilia ya watu kama waliwahi kua wapenzi wakaachana unajuaje?unajuaje kama huyo Salome amewahi kumdhalilisha Nchambi bila macho yako kua yameona?kumbuka wote hao wanaishi Shinyanga mjini na hiyo ni tosha kukufanya wewe ufumbe kinywa chako uache kelele
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
HUyo aliyesemwa avae almasi kiunoni nadhani ni mama wa watu. Sasa ukitaka kuona kashfa kama ipo au haipo, fikiria kuwa mtu anaemsema hivyo ni mama yako, avae almasi au shanga kiunoni ili amfurahishe baba yakoKashfa ipo wapi hapo?
Wewe ndiyo mjinga..wewe ni binadamu tu unaweza ukawa huna utashi wowote ila unadanganywa na fikra zako kwa sababu za vyama vya siasa,ukidhani wewe ndo unajua na kumbe ni mpumbavu tu.Wewe umetoa maoni ya kijinga sana. Kama huna cha kuongea si ukae kimya
Unalifanya Bunge letu kuwa sehemu ya kutoa kauli za kuvaa almasi au shanga sijui kiuoni ili kuwafurahisha wanaume katika ngono na unaona sio ujinga? Hivi mama yako ndio angetolewa mfano huo pale bungeni bado ungeona sawa, kuwa hizo almasi ni za kumtsha yeye avae kiunoni ili amfurahishe baba yako, ungeona sawa tu? Watu mnakosa akili hata zile ambazo ni za kawaida kwa sababu tu za ushabiki.Wewe ndiyo mjinga..wewe ni binadamu tu unaweza ukawa huna utashi wowote ila unadanganywa na fikra zako kwa sababu za vyama vya siasa,ukidhani wewe ndo unajua na kumbe ni mpumbavu tu.
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Utakuwa punguani kama limwenyekiti lenu!Kashfa ipo wapi hapo?
Mkuu kubali tu kwamba umeongea pumba sana!Wewe ndiyo mjinga..wewe ni binadamu tu unaweza ukawa huna utashi wowote ila unadanganywa na fikra zako kwa sababu za vyama vya siasa,ukidhani wewe ndo unajua na kumbe ni mpumbavu tu.
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Halafu spika naye anacheka ujinga eeeh? Hivi kwa nini hakumkemea huyo ghabacholi? Asifikri hayo madaraka atakuwa nayo milele! Nyoko sana mh. Supika!!Unalifanya Bunge letu kuwa sehemu ya kutoa kauli za kuvaa almasi au shanga sijui kiuoni ili kuwafurahisha wanaume katika ngono na unaona sio ujinga? Hivi mama yako ndio angetolewa mfano huo pale bungeni bado ungeona sawa, kuwa hizo almasi ni za kumtsha yeye avae kiunoni ili amfurahishe baba yako, ungeona sawa tu? Watu mnakosa akili hata zile ambazo ni za kawaida kwa sababu tu za ushabiki.
Kwani zambi au wao sio watu acha ubaguzi, ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu ukianza kula huwezi kuiachaMbona ccm wamejaa Wasomali hivi?huyu Mbunge sijawahi kumuona