jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,327
Dr. Kigwangala ana dhamana ya ubunge na uwaziri kwa uwakilishi na utumishi wa umma, toka ateuliwe kuwa waziri shughuli zake zinazooneka dhahiri ni ushiriki wake kwenye mitandao ya kijamii.
Sio nia ya uzi huu kuuchambua ushiriki wa Dr. Kigwangala kwenye mitandao ya kijamii, bali kama kipambanuzi kwenye matatizo yaliyo kwenye wizara aliyo na dhamana nayo.
Dr. Kigwangala unajua kuwa hospitali pekee nchini kwa magonjwa ya saratani (cancer) Ocean Road haina dawa kwa zaidi ya miezi 6 sasa?
Kuna haja gani ya kukimbizana na kujibizana na akina dokta Mwaka huoni badala yake umepaswa usimamie upatikanaji wa dawa pale ocean road hospital?
Kwa spirit ile ile aliyoitumia kumjibu dokta mwaka kuwa hakusoma nae ajitokeze hapa hapa ajitetee kwa tuhuma za kufanya kazi (tangible) chini ya kiwango.
Naomba kuwasilisha.
Sio nia ya uzi huu kuuchambua ushiriki wa Dr. Kigwangala kwenye mitandao ya kijamii, bali kama kipambanuzi kwenye matatizo yaliyo kwenye wizara aliyo na dhamana nayo.
Dr. Kigwangala unajua kuwa hospitali pekee nchini kwa magonjwa ya saratani (cancer) Ocean Road haina dawa kwa zaidi ya miezi 6 sasa?
Kuna haja gani ya kukimbizana na kujibizana na akina dokta Mwaka huoni badala yake umepaswa usimamie upatikanaji wa dawa pale ocean road hospital?
Kwa spirit ile ile aliyoitumia kumjibu dokta mwaka kuwa hakusoma nae ajitokeze hapa hapa ajitetee kwa tuhuma za kufanya kazi (tangible) chini ya kiwango.
Naomba kuwasilisha.