Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Serikali imepiga Marufuku Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati zote nchini kushikilia maiti kudai fedha iliyotumika katika matibabu.
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa afya Dk. Faustine Ndugulile wakati akiwa ziarani katika Kata ya Kileo mkoani Kilimanjaro.
Hatua hiyo ya Serikali inakuja siku chache baada ya Mbunge wa CHADEMA Jospeh Mbilinyi kuitaka Serikali kuacha tabia kwani si ya kibinadamu.
Sugu alisema kitendo hicho sio cha kibinadamu na ni kuwanyima haki ndugu zake.
=====
MARUFUKU HOSPITALI KUSHIKILIA MAITI " -DKT NDUGULILE
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile amepiga marufuku hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati kote nchini kushikilia maiti kwa kile kinachotajwa hadi pale gharama za matibabu yake zitakapolipwa.
Dkt Ndugulile ametoa tamko hilo wakati wa ziara yake ya kutembelea kituo cha Afya cha Kileo na kusikiliza kero za wananchi wa kata ya Kileo.
Chanzo: Clouds Media
Pia, soma:
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa afya Dk. Faustine Ndugulile wakati akiwa ziarani katika Kata ya Kileo mkoani Kilimanjaro.
Hatua hiyo ya Serikali inakuja siku chache baada ya Mbunge wa CHADEMA Jospeh Mbilinyi kuitaka Serikali kuacha tabia kwani si ya kibinadamu.
Sugu alisema kitendo hicho sio cha kibinadamu na ni kuwanyima haki ndugu zake.
=====
MARUFUKU HOSPITALI KUSHIKILIA MAITI " -DKT NDUGULILE
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile amepiga marufuku hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati kote nchini kushikilia maiti kwa kile kinachotajwa hadi pale gharama za matibabu yake zitakapolipwa.
Dkt Ndugulile ametoa tamko hilo wakati wa ziara yake ya kutembelea kituo cha Afya cha Kileo na kusikiliza kero za wananchi wa kata ya Kileo.
Chanzo: Clouds Media
Pia, soma:
Wabunge waitaka Serikali kuacha tabia ya kushikilia maiti ndugu wanaposhindwa kulipa gharama za matibabu
Wabunge wametaka Serikali kuacha tabia ya kushikilia miili ya wanaofariki na ndugu zao kushindwa kulipa gharama za matibabu kwa wagonjwa wanaofariki badala yake imetakiwa kusamehe. Hoja hiyo ilitolewa na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) na Mussa Mbarouk wa Tanga wakati wakichangia...
www.jamiiforums.com
Hili la maiti kulipishwa madeni Hospitali za Serikali limekaaje?
Habarini wapendwa, Wiki hii mzee wetu alikuwa anaumwa Hernia, tarehe 07/11/2019 tukampeleka Mloganzila hospital akitokea hospitali ya Bagamoyo, kufika kule usiku akafanyiwa upasuaji, saa kumi alfajiri akafariki. Sasa tarehe 08/11/2019 tukaenda ili kuchukua mwili wa marehemu akazikwe. Kufika...
www.jamiiforums.com
Waziri Ummy Mwalimu, hili la kuzuia maiti ni unajisi wa mila zetu za kiafrika. Litazameni vizuri
Kwa muda sasa watu wamepaza sauti kuhusu mamlaka za taasisi zinazotoa tiba za kisasa-hospital na zahanati kuzuia wafiwa kuchukua miili za wapendwa wao mpaka walipie gharama za matibabu. Mantiki yake haieleweweki na wala haikubaiki kwa mila zetu sisi waafrika. Haikubaliki pia kwa wafrika...
www.jamiiforums.com