Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Pole sana mheshimiwa!!
duhh mkuu hii avatar yako safi kweli
Pole sana mheshimiwa!!
Ndugu,
Tumepoke taarifa za msiba kuwa mke wa Mheshimiwa Mbunge wa Kisapu CCM,Mpendazoe amefiwa na mkewe Rosemary,aliyekuwa ameenda India kwa matibabu jana jioni.
tunakupa pole na mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.