Mheshimiwa Philipo Mpango tunaishukuru Serikali kwamba hatimaye barabara ya kutoka Chanika imefika zingiziwa. Yaani imeishia getini kwako mheshimiwa. Tulikuwa tunaomba angalau basi utusaidie isogezwe ili ipitilize kidogo ifike angalau hapo Homboza center ambapo daladala za kuelekea Kariakoo (Machinga complex) zinaanzia.
Maana tunapata taabu sana sana hicho kipande cha kama km 1 hivi kina mateso sana hasa pale inapokuwa inanyesha. Daladala haziendi Homboza kabisa wakati mwingine hata boda boda na bajaji zinashindwa kwenda huko.
Maana tunapata taabu sana sana hicho kipande cha kama km 1 hivi kina mateso sana hasa pale inapokuwa inanyesha. Daladala haziendi Homboza kabisa wakati mwingine hata boda boda na bajaji zinashindwa kwenda huko.