BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Tatizo ni kwamba kwa kila tukio linalohusisha Mtu kufa au kuumia ndivyo Watu wengi wanavyozidi kujiuliza Maswali kama kweli Wapinzani wapo kwa ajili ya kuwatetea au vinginenvyo, haya mambo hayataki jazba, kitu cha mwisho ambacho Wapinzani wanahitaji sasa hivi ni wananchi kupoteza Imani kwao, na hiyo Imani itazidi kutoweka kila pale Mtanzania anapopoteza Maisha, bila sababu! Tiini Mamlaka iliyopo, basi hata Mungu atawabariki huko mbeleni kwa maana imeandikwa!
wanauliwa na polisi mkuu,hembu polisi wakae pembeni wasindikize maandamano tuone kama kuna mtu ataumia au kujikwaa.polisi wakitumia nguvu mtu anakufa