Mh.Mkuu wa mkoa wa Dar Makonda, sema neno moja tuu na parking ya Mwenge irudi

lendila

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
5,806
4,370
Mh.Mkuu wa mkoa wananchi wa Mwenge wanakupenda sana, Mh. mkuu wa mkoa wananchi wa Mwenge wanaupendo mkubwa sana na wewe wananchi wa Mwenge hawana tatizo lolote na ww mheshimiwa, embu sema neno moja tu na parking ya magari irudi kama mwanzo ilivyokuwa kabla ya kukataza magari yasipark eneo la mtaa wa Mwenge sokoni mh wetu mkuu wa mkoa wa Dar es salam.

Tunakuomba tunakuomba Mh tengua kauli yako Mh mkuu wa mkoa wetu
Ni matumaini yetu maombi yetu wakazi wa Mwenge nzansa yatapokelewa na yatafanyiwa kazi.

Tunakutakia kila la heri,na kazi njema
 
Mh.mkuu wa mkoa wananchi wa mwenge wanakupenda sana,mh,mkuu wa mkoa wananchi wa mwenge wanaupendo mkubwa sana na wewe wananchi wa mwenge hawana tatizo lolote na ww mshimiwa,embu sema neno moja tu,na park ya magari irudi kama mwanzo ilivyokuwa kabla ya kukataza magari yasiparking eneo la mtaa wa mwenge sokoni mh wetu mkuu wa mkoa wa dar es salam
Tunakuomba tunakuomba mh tengua kauli yako mh mkuu wa mkoa wetu
Ni matumaini yetu maombo yetu wakazi mwenge nzansa yatapokelewa,na yatafanyiwa kazi,tunakutakia kila la heri,na kazi njema
Hana muda huo endeleeni kuisoma namba
 
Mh.mkuu wa mkoa wananchi wa mwenge wanakupenda sana,mh,mkuu wa mkoa wananchi wa mwenge wanaupendo mkubwa sana na wewe wananchi wa mwenge hawana tatizo lolote na ww mshimiwa,embu sema neno moja tu,na park ya magari irudi kama mwanzo ilivyokuwa kabla ya kukataza magari yasiparking eneo la mtaa wa mwenge sokoni mh wetu mkuu wa mkoa wa dar es salam
Tunakuomba tunakuomba mh tengua kauli yako mh mkuu wa mkoa wetu
Ni matumaini yetu maombo yetu wakazi mwenge nzansa yatapokelewa,na yatafanyiwa kazi,tunakutakia kila la heri,na kazi njema
Mtaisoma namba tu
 
Wambieni UKAWA na KUBENEA wawasaidie ndo wanamiliki halmashauri
Halimashauri iko chini ya meya wetu mchapa kazi meya sita,tulishampa taarifa akatuahidi atatusadia,lkn naona amegonga mwamba
 
Sasa kama mnae Meya mchapakazi Makonda wa kazi gani, ninyi komaeni nae huyo meya
Makonda ndiye aliyetoa amri ndugu yangu,kwa hiyo bila yeye kutengua kauli yake meya anakuwa hana power ndugu yangu
 
Hebu mleta mada utueleze magari yalikuwa yanawasaidia kivipi sababu mwenge yenyewe ni ndogo hata hiyo nafasi ya kupaki magari hakuna. Kama wewe ni wale wenye vibanda vya ususi kule Tamal hotel mbona biashara inaendelea kama kawaida.

Makonda,Hapi na diwani Lwakatare wameshindwa kuaandaa standi kubwa ya mabasi pale kawe Feza au alipokuwa gwajima sababu kawe ule mji umekaa shaghalabaghala sijui wanasubiri nini?
 
Hebu mleta mada utueleze magari yalikuwa yanawasaidia kivipi sababu mwenge yenyewe ni ndogo hata hiyo nafasi ya kupaki magari hakuna. Kama wewe ni wale wenye vibanda vya ususi kule Tamal hotel mbona biashara inaendelea kama kawaida.

Makonda,Hapi na diwani Lwakatare wameshindwa kuaandaa standi kubwa ya mabasi pale kawe Feza au alipokuwa gwajima sababu kawe ule mji umekaa shaghalabaghala sijui wanasubiri nini?
Barabara ya mwenge sokoni ni pana kuliko barabara ya samjom ya mliman city ambayo ina parking ,ushangai ndugu yangu
 
Back
Top Bottom