membe ni kati ya viongozi wasiopima nn wanaongea na nafasi zao, unapokuwa mwanadiplomasia hupaswi kuwa mnafikinafiki na unayetoa kauli zisizo na mwendelezo, nakumbuka kauli yake kuwa 'hatuwezi kukubali nchi kuongozwa na mchesha disco, dj' akimaanisha rajoelina wakati wa sakata kati yake na ravalomanana huko madagascar, na kauli yake ya juzi kuwa 'hatuwezi kuwatambua watu wanaoongoza ndani ya pick ups' akihusisha namna wakomboaji wa libya walivyokuwa wakitumia pick ups katika harakati azo za kumwondoa qadhafi.
Membe ni lazima aoen aibu kuu