The Conquerer
Member
- Aug 16, 2012
- 79
- 94
Huko Iringa kuna operesheni gani? Au walikuwa wanapita tu? Nijuze kamandaHongera Kamanda. Kwa jinsi ulivyofunguka na kufurahi, hakika furaha yako haitaishia hapo. Umefungua ukurasa mpya katika maisha yako ya kisiasa. Sasa chukua hatua. Fanyia kazi tukio la leo. Nakuhakikishia mwaka kesho majira kama haya utakuwa kiongozi katika jamii yako ili uwape furaha kama wewe ulivyopata furaha leo. God bless you!!!!!!! Mungu ameipokea furaha yako.
usinawe mikono leo!
mimi juzi nilikuwa pale new africa hotel siku ile alipokuja obama kiongozi wa ngazi za juu katika magamba anataka kunipa mkono nikakataa kwa angeniharibia siku.
nice excitement, u culnd't hold it within! congrats. hopeful your now inspired
Kura unapiga lakini?Nikiwa namalizia kupata chai yangu asubuhi hii kwenye mgahawa moja unaitwa Udizungwa hapa Iringa Mjini mara akaingia mh. Msingwa na viongozi wengine wa CHADEMA wakiwa pamoja na kamanda wa anga Mh. Mbowe.
Baada ya kuingia Mh. Mbowe akasalimiana na watu wengine tuliokuwepo mule ndani na moja kwa moja wakaja kukaa na karibu na meza niliyokuwa nimekaa na nikapata bahati ya kutoa mkono wangu na kusalimiana na Mh. Mbowe, nimefurahi sana kusalimiana na Mh.Mbowe nimejiona ni mwenye bahati sana leo.
Mh. Mbowe popote ulipo ujue yule kijana aliyesimama pale wakati unapata supu yako akakupa mkono akakuambia shikamoo amefurahi sana tena sana.
Asante Mh.Mbowe Mungu akubariki sana leo nimefurahi sana ni siku nzuri sana kwangu...Mh. Msigwa na viongozi wenzako nawatakieni kheri sana endeleeni kutetea wanyonge na sisi tupo kwa ajili yenu kwa maombi na dua zetu...
Mungu ibariki Tanzania.
Sasa subiri utapokutana Kinana akiwa ameambatana na Mwigulu Nchemba...nadhani utafurahi mara mia ya hapo.
Nikiwa namalizia kupata chai yangu asubuhi hii kwenye mgahawa moja unaitwa Udizungwa hapa Iringa Mjini mara akaingia mh. Msingwa na viongozi wengine wa CHADEMA wakiwa pamoja na kamanda wa anga Mh. Mbowe.
Baada ya kuingia Mh. Mbowe akasalimiana na watu wengine tuliokuwepo mule ndani na moja kwa moja wakaja kukaa na karibu na meza niliyokuwa nimekaa na nikapata bahati ya kutoa mkono wangu na kusalimiana na Mh. Mbowe, nimefurahi sana kusalimiana na Mh.Mbowe nimejiona ni mwenye bahati sana leo.
Mh. Mbowe popote ulipo ujue yule kijana aliyesimama pale wakati unapata supu yako akakupa mkono akakuambia shikamoo amefurahi sana tena sana.
Asante Mh.Mbowe Mungu akubariki sana leo nimefurahi sana ni siku nzuri sana kwangu...Mh. Msigwa na viongozi wenzako nawatakieni kheri sana endeleeni kutetea wanyonge na sisi tupo kwa ajili yenu kwa maombi na dua zetu...
Mungu ibariki Tanzania.
watu wa iringa wajipange majambazi na magaidi yameingia huko
Naelewa unavyojisikia,umenikumbusha nilipokua chuo kulifnyika kongamano la vijana pale ddc,siku ile nilipata fursa ya kushikana mkono na tindu lisu,kwanza siku hiyo sikunawa mikono,nilijisikia mwenye amani na uwezo wangu wa kiakili uliongezeka maana ndani ya mwezi mmoja huo test nilizofanya chuoni hakuna niliyopata chini ya 17/20.
Dah! mtu anaona ni bora kukutana na Mbowe kuliko hata Prezidaa kweli magamba mmechokwa.