The Conquerer
Member
- Aug 16, 2012
- 79
- 94
Huko Iringa kuna operesheni gani? Au walikuwa wanapita tu? Nijuze kamandaHongera Kamanda. Kwa jinsi ulivyofunguka na kufurahi, hakika furaha yako haitaishia hapo. Umefungua ukurasa mpya katika maisha yako ya kisiasa. Sasa chukua hatua. Fanyia kazi tukio la leo. Nakuhakikishia mwaka kesho majira kama haya utakuwa kiongozi katika jamii yako ili uwape furaha kama wewe ulivyopata furaha leo. God bless you!!!!!!! Mungu ameipokea furaha yako.