Aggrey86
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 853
- 155
Nikiwa namalizia kupata chai yangu asubuhi hii kwenye mgahawa moja unaitwa Udizungwa hapa Iringa Mjini mara akaingia mh. Msingwa na viongozi wengine wa CHADEMA wakiwa pamoja na kamanda wa anga Mh. Mbowe.
Baada ya kuingia Mh. Mbowe akasalimiana na watu wengine tuliokuwepo mule ndani na moja kwa moja wakaja kukaa na karibu na meza niliyokuwa nimekaa na nikapata bahati ya kutoa mkono wangu na kusalimiana na Mh. Mbowe, nimefurahi sana kusalimiana na Mh.Mbowe nimejiona ni mwenye bahati sana leo.
Mh. Mbowe popote ulipo ujue yule kijana aliyesimama pale wakati unapata supu yako akakupa mkono akakuambia shikamoo amefurahi sana tena sana.
Asante Mh.Mbowe Mungu akubariki sana leo nimefurahi sana ni siku nzuri sana kwangu...Mh. Msigwa na viongozi wenzako nawatakieni kheri sana endeleeni kutetea wanyonge na sisi tupo kwa ajili yenu kwa maombi na dua zetu...
Mungu ibariki Tanzania.
Baada ya kuingia Mh. Mbowe akasalimiana na watu wengine tuliokuwepo mule ndani na moja kwa moja wakaja kukaa na karibu na meza niliyokuwa nimekaa na nikapata bahati ya kutoa mkono wangu na kusalimiana na Mh. Mbowe, nimefurahi sana kusalimiana na Mh.Mbowe nimejiona ni mwenye bahati sana leo.
Mh. Mbowe popote ulipo ujue yule kijana aliyesimama pale wakati unapata supu yako akakupa mkono akakuambia shikamoo amefurahi sana tena sana.
Asante Mh.Mbowe Mungu akubariki sana leo nimefurahi sana ni siku nzuri sana kwangu...Mh. Msigwa na viongozi wenzako nawatakieni kheri sana endeleeni kutetea wanyonge na sisi tupo kwa ajili yenu kwa maombi na dua zetu...
Mungu ibariki Tanzania.