Mh. Mbowe asome alama za nyakati

Mh. Mbowe asome alama za nyakati

ni ushauri wa bure kwa mh.kusoma alama za nyakati na kungatuka km alivowah fanya mwl nyerere. ni wazi sasa kunakelele myingi juu ya mwenyekiti kufanya"anything" at any cost ili aendelee kubaki km mwenyekiti. ni wakati ss mh kusoma alama za nyakati
alama za nyakati kwa mboe ni kuendelea kuwa mwenye kiti,maana wanaomtaka aachie wenye kiti ni ccm kwa njinsi wanavyomuogopa ni sawasawa na wapenzi wa madrid wanavyoomba mess aame baselona
 
ni ushauri wa bure kwa mh.kusoma alama za nyakati na kungatuka km alivowah fanya mwl nyerere. ni wazi sasa kunakelele myingi juu ya mwenyekiti kufanya"anything" at any cost ili aendelee kubaki km mwenyekiti. ni wakati ss mh kusoma alama za nyakati

Wewe mbona familia yako imekuchoka haung'atuki? na unatakiwa ujue kwa upande wenu nyie maCCM yule mnaemchukia na kumshambulia ndio kiongozi bora wa upinzani na yule mnaemsifia ndio adui mkubwa wa upinzani
 
Magamba yakisikia jina la mbowe yana jamba jamba kwa woga Hahaha
 
...lumumba inaharisha ikisikia jina la mbowe na ukawa,kaulimbiu ni mpaka kieleweke...

Uongozi wa mh.mbowe na dr slaa umewashika magamba pabaya hahaha! !!!!
 
sisi wajumbe wa baraza kuu la chadema kutoka mkoa wa pwani tunaamini kuwa viongozi wetu ni shupavu na wana weledi mkubwa katika masuala ya uongozi. Ndani ya uongozi wao chadema imeweza kusambaa nchi nzima na kuwa na wanachama katika mikoa, wilaya, tarafa, kata, vijiji, mitaa na vitongoji, tumeongeza idadi ya wabunge kutoka 4 na madiwani 42 mwaka 1995 hadi wabunge 5 na madiwani 74 mwaka 2000, na kutoka wabunge 5 na madiwani 74 hadi wabunge 11 na madiwani 102 mwaka 2005, na kutoka wabunge 11 na madiwani 102 hadi kufikia wabunge 49 na madiwani 520 huku tukiongoza halmashauri kadhaa mwaka 2010. Kwa ubunifu wa viongozi wanaoitwa wameshindwa kazi, tumeanzisha program ya chadema ni msingi ambayo inakipelekea chama kuwa na mtandao mkubwa na kuweza kukabiliana na hila za ccm mpaka kwenye mizizi. lumbwa msalani

si chakujivunia kwa hizo takwim
 
Last edited by a moderator:
Mbowe ni sikio la kufa ni bora chagadema ife lakini yeye hawezi kuondoka chama baba mkwe atampatia nani.
 
ni ushauri wa bure kwa mh.kusoma alama za nyakati na kungatuka km alivowah fanya mwl nyerere. ni wazi sasa kunakelele myingi juu ya mwenyekiti kufanya"anything" at any cost ili aendelee kubaki km mwenyekiti. ni wakati ss mh kusoma alama za nyakati

naelekea kuamini kuwa mnalipwa buku saba coz ww si mwanacdm lkn unawashwa kuhusu mbowe kama mwanamke mwenye utungu
 
alama za nyakati kwa mboe ni kuendelea kuwa mwenye kiti,maana wanaomtaka aachie wenye kiti ni ccm kwa njinsi wanavyomuogopa ni sawasawa na wapenzi wa madrid wanavyoomba mess aame baselona
chagadema ni wagum kuelewa
 
umesoma hii thread kwel?
Mbowe endelea kuwepo chadema ninakuamini kwasbbu nguvu yako ya ukoo imewafanya ccm washindwe kukuua,kukuteka,kkuon'ga,kukutishia lakini ukitoka kwenye uenyekiti tumekwisha chadema,make sioni ambaye atakuwa mbabe kama wewe kupamban na chama ambacho viongozi wake kama akina anna makinda toka ana umri Wa miaka 17 yuko system mpaka leo na hijulikani ni lini watarudi shambani na walime kamA .makabila mengine nchi hii ni waoga WANa njaa na ndio maana wanaon'geka kama akina Kitila,mwigamba,zitto,dovutwa,cheyo wwana njaa waoga,wanaogopa kulala rumande,big up Mbowe kamanda,watajibeba ccm,act.
 
Mbowe endelea kuwepo chadema ninakuamini kwasbbu nguvu yako ya ukoo imewafanya ccm washindwe kukuua,kukuteka,kkuon'ga,kukutishia lakini ukitoka kwenye uenyekiti tumekwisha chadema,make sioni ambaye atakuwa mbabe kama wewe kupamban na chama ambacho viongozi wake kama akina anna makinda toka ana umri Wa miaka 17 yuko system mpaka leo na hijulikani ni lini watarudi shambani na walime kamA .makabila mengine nchi hii ni waoga WANa njaa na ndio maana wanaon'geka kama akina Kitila,mwigamba,zitto,dovutwa,cheyo wwana njaa waoga,wanaogopa kulala rumande,big up Mbowe kamanda,watajibeba ccm,act.

too low
 
Ni ushauri wa bure kwa Mbowe kusoma alama za nyakati na kung'atuka km alivowahi fanya mwl Nyerere. Ni wazi sasa kunakelele nyingi juu ya mwenyekiti kufanya"anything" at any cost ili aendelee kubaki kama mwenyekiti.

Ni wakati sasa Mbowe kusoma alama za nyakati.

Mapunguani huwa wanatabia ya kubweka without substance, Kelele zimfanye Mbowe ang'atuke baada ya kuipaisha CDM na kuwa tayari kuchukua madaraka kutoka CCM? Performance Indicators n Measures kuhusu ufanisi wa Taasisi ama vyama vya kisiasa unazijua? Kwanini usiwashauri CCM waachie madaraka kwa kushindwa katika kila sector ya maendeleo tena kwa zaidi ya 50 plus za kuwa madarakani? Kwanini usiwashauri CCM wang'atuke kwa kuingia mikataba ya kishenzi kwenye madini, gesi, makaa ya mawe, sekta ya nishati, utalii nk?... Mbowe et al wanafanyakazi nzuri sana ikiwemo ya kuwabaini wasaliti na kuwashughulikia kikamilifu...
 
Ni ushauri wa bure kwa Mbowe kusoma alama za nyakati na kung'atuka km alivowahi fanya mwl Nyerere. Ni wazi sasa kunakelele nyingi juu ya mwenyekiti kufanya"anything" at any cost ili aendelee kubaki kama mwenyekiti.

Ni wakati sasa Mbowe kusoma alama za nyakati.

sisi wanachadema hatuhtaji m/kiti mpya! Vipi ninyi ccm mnahtaji chadema ipate m/kiti mpya?
 
Back
Top Bottom