enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 723
- 2,819
Huyu sheikh alisifika hapa ndani na nje ya mipaka kwa elimu na maarifa mbalimbali kuhusu nyota,unajimu, utabiri, uganga n.k. Mimi binafsi namkumbuka aliposema kuwa pale Uingereza mkuu wa majini ni Tony Blair.!!!!!!!!!!! Kwa duniani mkuu wa majini ni Queen Elizabeth(Huyu aliyefariki hivi karibuni)!!!!!!!!!!!!! Je, ni kweli???????????
Wale wenye elimu za kiroho tunaomba majibu!!!!!
Nb : Sayansi haiwezi kuthibitisha mambo ya kiroho.
Source channel ten: Kipindi cha Nyota Zenu cha Tarehe 5 April 2010.mp4-
Wale wenye elimu za kiroho tunaomba majibu!!!!!
Nb : Sayansi haiwezi kuthibitisha mambo ya kiroho.
Source channel ten: Kipindi cha Nyota Zenu cha Tarehe 5 April 2010.mp4-