Kessy mzanzibari mi nawafahamu vizuri sana. Atakua katumwa huyo.
Katumwa na baba yako?
Kessy mzanzibari mi nawafahamu vizuri sana. Atakua katumwa huyo.
kessy ana kila dalili za kutumiwa na baadhi ya watu wa zanzibar ambao hawataki muungano. Kessy chimbuko lake ni pemba na mie nawajua ndugu zake wa karibu ambao wako zanzibar na ni weupe kuliko yeye.
Watu wale wapenzi wa muungano wajihadhari sana na maneno ya hatari ya kessy. Anatoa maneno ya chuki na sio hoja pekee
watu wa aina hii wanaweza pachikwa kotekote na maadui wa mungano
mfuatilieni jamani
kelele!
Hebu tueleze basi kwa nini tusizingatie maneno ya Kessy? Unaweza kutoa hoja ya kutufanya sisi tuamini maneno yako badala ya Kessy ambaye ametoa mfano kutoka kwa Gavana wa BOT Ndulu?
siasa ina sura nyingi. Kwa nini kaomba radhi pamoja na" kielelezo" cha BOT
kiswahili kinakupiga chenga baadhi ya maneno ya Kessy yana uungwana gani. hakuna hoja tena hapa kesy kaomba radhi kwa baadhi ya maneno yake na huo ndo UUNGWANA
Hakuna mwenye clip tushuhudie?
Mimi nahisi huyo kesi ni chakubimbi,kabla ya kuituhumu zanzibar ni mzigo ilikuwa atueleze iko wapi tanganyika kwenye bunge la kutunga katiba,afahamu tu kuwa katiba ni ya tanganyika na zanzibar.
Kessy mzanzibari mi nawafahamu vizuri sana. Atakua katumwa huyo.