Kessy katoa facts sio mipasho....ni kweli wazenj tunawalisha km wake zetu
Aliyoyasema hayana ukweli?Jifunze kuwa muungwana.
Kessy katoa facts sio mipasho....ni kweli wazenj tunawalisha km wake zetu
maandamano ya chadema yapo pale pale tupo kwenye maandalizi ya mipango tukishamaliza tunaitisha mkutano wa kuelezea hayo maandamano yataanzia wapi na kuishia wapi lazma tuandamane nchi nzima VIVA CHADEMAChadema maandamano lini siku zinayeyuka jamaa wanazidi kutuumiza kwa kodi zetu au nanyie mnatudanganya?
Wazanzibari wanapenda vya bure sana,tunawalisha,tunawavisha,tunawapangia cha kufanya,yani ni kama wake zetu[actually ni wake zetu],nyumba ndogo zetu. Wasifikiri hivi tunawapa bure,itafika muda tutaamua kwenda kuwapumulia visogoni live,si wanapenda kuhongwa,wategemee kulipa. No free lunch,wategemee hilo.
Anaendelea kusema toka karume kafa zanzibar haijachangia chochote katika muungano sio maneno yangu ni maneno ya gavana beno ndullu,hata hili bunge la katiba znz haijachangia chochote watanganyika hawataendelea kuwatibu wazanzibar na wake zao kwa kodi ya nkasi,ati rais wa znz awe makamo kachaguliwa na nani?