Bungen vurugu tupu full miongozo na taarifa,hali ya hewa yachfuka
Duh...hivi hawa jamaa wanatumia kodi zetu au wanajilipia kwenda huko? Maana naona mipasho
Kessy ana kila dalili za kutumiwa na baadhi ya watu wa Zanzibar ambao hawataki Muungano. Kessy chimbuko lake ni Pemba na mie nawajua ndugu zake wa karibu ambao wako Zanzibar na ni weupe kuliko yeye.
Watu wale wapenzi wa Muungano wajihadhari sana na maneno ya hatari ya Kessy. Anatoa maneno ya chuki na sio hoja pekee
Kessy ana kila dalili za kutumiwa na baadhi ya watu wa Zanzibar ambao hawataki Muungano. Kessy chimbuko lake ni Pemba na mie nawajua ndugu zake wa karibu ambao wako Zanzibar na ni weupe kuliko yeye.
Watu wale wapenzi wa Muungano wajihadhari sana na maneno ya hatari ya Kessy. Anatoa maneno ya chuki na sio hoja pekee
Watu wa aina hii wanaweza pachikwa kotekote na maadui wa Mungano
Kessy ana kila dalili za kutumiwa na baadhi ya watu wa Zanzibar ambao hawataki Muungano. Kessy chimbuko lake ni Pemba na mie nawajua ndugu zake wa karibu ambao wako Zanzibar na ni weupe kuliko yeye.
Watu wale wapenzi wa Muungano wajihadhari sana na maneno ya hatari ya Kessy. Anatoa maneno ya chuki na sio hoja pekee
Watu wa aina hii wanaweza pachikwa kotekote na maadui wa Mungano