Mkuki kwa nguruwe, za ccm zimechomwa sana na kuchomwa sana ila
Kifo cha Urais Kupitia Ukawa ndio Leo... Nimetabiri tu..... Sasa tushajua Bosi ni Magufuli
Mkuki kwa nguruwe..CCM waliitwa kokoto leo kuna uzi humu umejaa picha za watu kwenye maroli wanaenda jangwani...kama kwa wingi wa kokoto ukawa wameshinda ha ha ha ....
Any way point ya muhimu ni akiba ya maneno.
Viongozi wetu wameno yao yalibadilika ghafla hatujui tufiche wapi sura zetu kwa kuwaita watu mafisadi...wengine tulivyokolea mpaka tukawa tunawaambia wazi wazi...dah..
Sasa ndo mabosi wetu
.tumekomaje?
Somo chungu sana.. Any way ndo maisha