Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,930
- 2,554
Wadau,
Mh. Jaji Warioba leo ataunguruma kupitia ITV kwenye kipindi cha DK 45. Atakuwa akihojiwa na Buhohela. Naamini ataweka sawa mipaasho ya UKACCM (UMOJA WA KATIBA YA CCM) waliobaki bungeni na pia atatoa ufaafanuzi wa masuala ya msingi yaliyo ibuliwa na UKAWA (UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI). Stay tuned...
Mh. Jaji Warioba leo ataunguruma kupitia ITV kwenye kipindi cha DK 45. Atakuwa akihojiwa na Buhohela. Naamini ataweka sawa mipaasho ya UKACCM (UMOJA WA KATIBA YA CCM) waliobaki bungeni na pia atatoa ufaafanuzi wa masuala ya msingi yaliyo ibuliwa na UKAWA (UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI). Stay tuned...