Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Tatizo la wanaume wengine neno nakupenda kwa mkewe ni nadra sana ndio sababu ya majibu hayo!
Afu wewe. Nikikukamataaaa!!!
Tatizo la wanaume wengine neno nakupenda kwa mkewe ni nadra sana ndio sababu ya majibu hayo!
Afu wewe. Nikikukamataaaa!!!
Dear you made my whole week !! Asante....Mie naona namba 4 na 5 ndiyo kiboko kujibiwa na mke wako hivyo
Hahahaaa, hapo ndiyo utaniambia ni nani na nani huwa wanakutumia msg za mapenzi mpaka mimi mumeo unimix!..lol