Mh. Godbless Lema elewa tofauti ya Bunge (Parliament) na Serikali (Executive)

umeandka dhana nyingi mkuu huo ni mtazamo wako yan unadhani,unaona
Kwanza ndugu yangu unaangalia hali ya Mgonjwa na madaktari specifically waliokuwa karibu na Lissu waliiona hali yake ikoje at the sport,hivyo yawezekana kabisa hata madaktari Dodoma waliiona hali ya Mgonjwa na inawezekana kabisa walimshauri Waziri,lakini kwa sababu ya kutofikiria zaidi ya pua.

Hivi unadhani kutoka Dodoma mpaka Dar,na Dar mpaka Nairobi inatifautiana kwa kiasi gani muda wa kuruka?/Mkuu unaujua muda uanotumia kutoka destination mbili hizo??

Kama Naiorbi wameona Mgonjwa hawezi kuruka masafa marefu ulitegemea Muhimbili wangemrusha hata baada ya kuona hawana vitendea kazi na hali ya mgonjwa inahitaji zaidi ya huduma waliyonayo wangeweza kumrusha kwenda Nairobi??

Ndugu yangu kama hali ilikuwa si njema ni vyema Spika na Waziri wangeact kama watu wazima kuliko kuact kwa sababu ya matumbo yao.

Hakuna mtu asiyeijua Muhimbili,tunamadkatari lakini hatuna vifaa.ndiyo sababu tunasema hivi NIA,LENGO,na DHUMUNI la CCM lilkuwa kupeleka RAMBIRAMBI na si kuokoa maisha ya Lissu.

Akili ya binadamu inajua mengi kuliko ujinga mnaotuletea.

Si ndugai wala Ummy ambaye angekubali kama yeye angekuwa kwenye hali ya Lissu kupelekwa Muhimbili.Nina rafiki Muhimbili ni daktari aliwahi kuniambia ukisikia ninaumwa tafadhali Muhimbili iwe sestination ya mwisho kabisa kunipeleka maana yake nilitakiwa kumpeleka akiwa MIATI na siyo kutibiwa.

Tukubali tu Spika amechemka
,
 
Umenena mkuu
Lobapula, mada yako imenigusu na imelenga kutoa ujumbe ulio sahihi dhidi ya upotoshwaji wa wana siasa.

Kila mwajiriwa na katika kila jamii, hata huko CHADEMA, kuna kanuni na taratibu zinaongoza utendaji wa kazi na majukumu ya kila mhusika.

Kwa hilo la matibabu, kila mwajiri ana taratibu zake za kutibu wafanyakazi wake. Nyumbani kwangu pia nina utaratibu wa kutibu familia yangu, usiofanana kabisa na wa familia nyingine.

Viongozi wa CHADEMA, nimesema mara kadhaa kwamba ni wachanga kisiasa. Uwanaharakati wao unaweka katika picha mbaya kisiasa. Na ni aibu kwao kuendelea kutumia shambulizi la Mh Lissu kisiasa. Mbaya zaidi kila kiongozi wao amekuwa msemaji wa maendeleo ya matibabu ya Mh Lissu, tena kwa kutofautiana.
 
Mimi nilitegemea wewe ndiye utuambie

(1) kuwa LEMA alikuwa wapi wakati SERIKALI inamtibu kwa DHARULA kuokoa uhai wake pale Dom?????
Ummy alikuwepo (Serikali)
Katibu mkuu W/Afya Alikuwepo (Serikali)
Uharaka ulihitajika muda HUO DOM HOSPITALI
tusaidie ndugu yangu.. WEWE NA LEMA MLIKUWA WAPI WAKATI SERIKALI INAHANGAIKA KUOKOA UHAI WAKE MUDA HUO????????
NANI ALIANZA KUOKOA UHAI WAKE KATI YA SERIKALI NA LEMA SIKU HIYO????????

UKIJUA HILO
THEN UNAPASWA KUJUA NANI ANATAFUTA KUJIJENGA KISIASA KUPITIA MATUKIO KAMA HAYA kati yako wewe.. Lema... Na serikali

(2) Hebu tusaidie Lema huko Nairobi alikojitokeza Hadi sasa amesaidia kitu gani kuokoa UHAI WA TL?????
Kumbuka Madaktari wapo na Yeye hana Utaalam wowote hata kuchoma Sindano
Familia yake akiwemo mke wake ipo Inayofanya Kazi zooote muhimu za mgonjwa
YEYE LEMA SPECIFICALLY ANASAIDIA NINI NAIROBI ZAIDI YA KUJIREKODI VIDEO NA KUTUPIA YOU TUBE??????

So far NANI ANATUMIA TUKIO HILO KUJIINUA KISIASA?????
michango inafanyikia Tanzania mkumbushen aje huku aongoze harambee.. Huo ndio msaada anaopaswa kuja kufanya na siyo KUJIREKODI na kutuma YouTube upuuzi wake huo...
Ile huduma ya kwanza hata jamazi anapewa msiulize nani alikuwa wapi so uliwaona wote hospitali
 
Mnatutia mashaka sana. Kwa nini mnalilia na kukazania sana Lissu atibiwe Mhimbili? Mnatuogopesha sasa. Tuataogopa kwenda Muhimbili ujue. Kuna nini Muhimbili? maana kila kiongozi si bungeni wala serikalini, wana CCM wote kilio chao ni Lissu kwenda Muhimbili. Jamani vipi Muhimbili? Katibu wa CCM tuliambiwa mmemtuma India akatibiwe. kwa nini hamkumpeleka India? Je, alipewa Rufaa toka muhimbili? Halafu mnauhakika gani kwamba Muhimbili ingempa rufaa Lissu? Ina maana mliongea na madaktari wa Muhimbili kwamba Lissu akifika mmpe rufaa? Kama ni hivi mliwaambia akifika apewe rufaa kwenda wapi? Mnatuchanganya sana nyie serikali na chama.
 
Nimeshangazwa na na kusikitishwa juu ya uropokaji wa Mh Lema,kuhusu kauli ya Waziri wa afya Ummy Mwalim kaongelea kauli ya Serikali (Executive) yeye kama Waziri taratibu zao ki serikali kutibisha nje ya nchi ziko vp na Spika Ndugai aliongelea taratibu zao kama muhimili wa Bunge (Parliament) taratibu zao ziiko vp kama Bunge so muelezeni kamanda atofautishe Serikali na Bunge ni vitu viwili tofauti Ummy kaongelea Serikalii na Ndugai aliongelea Bunge hivi ni vyombo au mihimili tofautii na kila muhimili unja taratibu zake za kuendesha mambo yake

Nchi hii ina mihimimili mitatu
1.Serikali
2.Bunge
3.Mahakama
Mihimili hii inajitegemea katka kuendesha mambo yake Serikali ina taratibu zake,Bunge inataratibu zake na Mahakama ina taratibu zake so Mh Lema atofautishe kaulii ya Serikali kupitia waziri wa afya na kauli ya Bunge kupitia spika wa bunge

CHADEMA waache kufanya siasa kwenye afya ya Lissu Serikali kupitia Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,wazee na Watoto kasema serikali iko tayari kugharamia matibabu ya Lissu wamshauri mke wa Lissu afuate ushauri wa serikali mme wake apate matibabu ya Uhakika hawa kina Msigwa,Lema na Mbowe wana tafta kick za kisiasa kupitia mgonjwa ikitokea bahati mbaya (Japo hatuombei) hawa watamwambia pole shemeji wakizika wataondoka hawatawaona tena kama ilivyokua kwa Chacha Wangwe CHADEMA washamsahau hata Alphonce Mawazo CHADEMA washamsahau mke wa Lissu na familia wafanye uamzi wa busara waachane na hawa wana siasa. Baba ni msingi wa familia busara iongoze na maarifa yatamalaki katika kumpatia matibabu Lissu.

Mungu akusimamie na upone haraka Chief Whip Tundu Antipas Lissu
Mtapepesuka sana tu maana swala la TL limewakalia vibaya!! Jitahidini kuongozwa na busara japo kidogo.
 
Lobapula: Sasa kama Ummy alikuwepo na aliwasikia familia wakisema wanaomba Lissu aende Nairobi, sasa kama analijua hilo nini kinamfanya atoe hili tamko? Kama aliheshimu wakati huo maamuzi ya familia, sasa yeye nini kinamfanya atoe tamko hilo?
 
Mtapepesuka sana tu maana swala la TL limewakalia vibaya!! Jitahidini kuongozwa na busara japo kidogo.
Wanaotakiwa kuongozwa na busara ni wale wanaosema wako tayar kuuza mali zao wamtibie wakati wanachangisha wanachama wao kwa nn wasiuze kwanza malii zao wakimaliza ndio wawachangishe watu?
 
umeandka dhana nyingi mkuu huo ni mtazamo wako yan unadhani,unaona

,

Cha msingi tunatakiwa kufanya decision kulingana na UTU.taratibu zinaweza kukiukwa kulingana na hali ya mtu.Kama UHAI ni bora basi tunalinda kwanza uhai wa MTANZANIA,taratibu nyingine zinafuatwa na kitu kinachoitwa..."Note the file"

Kwenye decision making huangalii mtazamo mmoja tu unaangalia pia na hatari zinazomkabili unayemfanyia maamuzi.

Maamuzi ya Ndugai na Ummy yalikosa UTU.

Kuna wakati tuache siasa tuweke Ubinadamu kwanza,tuweke miguu yetu kwenye nafasi ya Lissu.Hebu jiulize hukuiona hali ya Lissu aliyokunayo,ok,waliomuona wanasema alikuwa anahali mbaya sana,je ulitaka wakuache hivyo hivyo wakupeleke Muhimbili ambako sote tunajua hali yake??

Tuwe wakweli kwa nafsi zetu na Mungu wetu.Tuache siasa jitathmini wewe kama wewe ungefurahishwa ukafie Muhimbili uache familia yako ikiteseka wakati tunajua kaisa njia mbadala ya kusave maiha yako??

Tuondoe chuki kati yetu,tuwe binadamu,tusiongozwe na chuki,na kama huwezi kuiondoa chuki basi ni bora kunyamaza.

Ukiniuliza mimi siwezi kuacha binadamu apoteze maisha ati sababu kuna watu wanamchukia au walitaka apotezwe,sitofanya na Mungu anisaidie,haijalishi yuko CCM au Chadema kwnagu uahi kwanza
 
Lobapula: Sasa kama Ummy alikuwepo na aliwasikia familia wakisema wanaomba Lissu aende Nairobi, sasa kama analijua hilo nini kinamfanya atoe hili tamko? Kama aliheshimu wakati huo maamuzi ya familia, sasa yeye nini kinamfanya atoe tamko hilo?
naona mkuu huelewi hata lengo la ile press ni nn?Itafte uskilize tena kisha urudi utaelewa nia ni nn
 
mwengeso: Nyie kinachowauma nini? Waacheni Chadema na Lissu wao wafanye wanaloona linafaa. Mbona mnajishuku kila wakati? Kelele za nini nyie CCM?
 
naona mkuu huelewi hata lengo la ile press ni nn?Itafte uskilize tena kisha urudi utaelewa nia ni nn

Lengo ilkuwa kujisafisha ,Mbaya Zaidi ikaharibiwa na tamko la yule UVCCM Mkuu wa Mkoa wa Tanga
 
Cha msingi tunatakiwa kufanya decision kulingana na UTU.taratibu zinaweza kukiukwa kulingana na hali ya mtu.Kama UHAI ni bora basi tunalinda kwanza uhai wa MTANZANIA,taratibu nyingine zinafuatwa na kitu kinachoitwa..."Note the file"

Kwenye decision making huangalii mtazamo mmoja tu unaangalia pia na hatari zinazomkabili unayemfanyia maamuzi.

Maamuzi ya Ndugai na Ummy yalikosa UTU.

Kuna wakati tuache siasa tuweke Ubinadamu kwanza,tuweke miguu yetu kwenye nafasi ya Lissu.Hebu jiulize hukuiona hali ya Lissu aliyokunayo,ok,waliomuona wanasema alikuwa anahali mbaya sana,je ulitaka wakuache hivyo hivyo wakupeleke Muhimbili ambako sote tunajua hali yake??

Tuwe wakweli kwa nafsi zetu na Mungu wetu.Tuache siasa jitathmini wewe kama wewe ungefurahishwa ukafie Muhimbili uache familia yako ikiteseka wakati tunajua kaisa njia mbadala ya kusave maiha yako??

Tuondoe chuki kati yetu,tuwe binadamu,tusiongozwe na chuki,na kama huwezi kuiondoa chuki basi ni bora kunyamaza.

Ukiniuliza mimi siwezi kuacha binadamu apoteze maisha ati sababu kuna watu wanamchukia au walitaka apotezwe,sitofanya na Mungu anisaidie,haijalishi yuko CCM au Chadema kwnagu uahi kwanza
Kama familia na chama waliona ni bora aende nairobi ulitaka seriikali wamlazmshe kumpeleka wanakotaka?Na ndio maana hata leo serikal imesema kama familia wanataka serikali ite mkono wake lazma wapate consent kutoka kwa familia
 
umuhimu wa kumsaidia matibabu nchi yoyote umeonekana baada ya wiki 2 za kulazwa Nairobi
kweli unafki utawamaliza nyie
mbona mlikataa toka day one kugharamia matibabu yake
dhamira zinawasuta, mnatapatapa sasa

NB: Hajatushinda mgonjwa wacha tuendelee kumchangia vimia mia vyetu, nyie tulieni tu kwa sasa
 
Mtatuita majina yote lakini mwisho wa siku tutajichangisha kama kawaida.Hatuna tatizo
Shida yenu kelele nyingi lakini michango kiduchu. Yaani hadi sasa jumla ya michango (Matiko Account) ni TSh 11.4 milioni tu. Yaani hata kama ingalikuwa michango kwa ajili ya send off party ya binti wa Matiko saa hizi ingalikuwa na mamia ya mamilion.

Watu wanawahurumia mnavyotapeliwa kwenye michango hiyo. Ona sasa unasema kwamba hata huo mchango wa Sh 45 milion wa wabunge hauonekani uliko. Kiasi hicho kilichotolewa na wabunge kilitosha sasa kwa matibabu yake India au South Afrika.

Ni aibu kwa chama na taifa kwa ujumla. Ili kusitisha aibu hii na utapeli huu serikali inataka kuwanusuru mzigo huo mliojibebesha wenyewe ambao umewalemea, nyie hamtaki. Au kuna kitu mnanufaika nacho? Acheni wanafamilia waamue wenyewe.
 
Lobapula: Ninaelewa kila kitu. Kwanza yeye ameanza kutilia shaka michango ya wenye nia njema na Lissu eti watu watatapeliwa. kwanza hiyo ni kazi ya polisi kushughulika na matapeli kama mtu atalalamika kutapeliwa. Halafu eti kwa watu kujitolea kumhudumia Lissu kuna leta picha mbaya kwa serikali kwamba imemsusia mwananchi wake. Au wewe ulisikia hoja nyingine iliyomfanya yeye kwa niaba ya serikali ijitetee kiasi kile?
 
Back
Top Bottom