Mh. Godbless Lema elewa tofauti ya Bunge (Parliament) na Serikali (Executive)

Shida yenu kelele nyingi lakini michango kiduchu. Yaani hadi sasa jumla ya michango (Matiko Account) ni TSh 11.4 milioni tu. Yaani hata kama ingalikuwa michango kwa ajili ya send off party ya binti wa Matiko saa hizi ingalikuwa na mamia ya mamilion.

Watu wanawahurumia mnavyotapeliwa kwenye michango hiyo. Ona sasa unasema kwamba hata huo mchango wa Sh 45 milion wa wabunge hauonekani uliko. Ni aibu kwa chama na taifa. Serikali inataka kuwanusuru mzigo huo mliojibebesha wenyewe ambao umewalemea, nyie hamtaki. Au kuna kitu mnanufaika nacho?

Non sense
Mnamng'ang'ania ili mkammalizie
 
Kama familia na chama waliona ni bora aende nairobi ulitaka seriikali wamlazmshe kumpeleka wanakotaka?Na ndio maana hata leo serikal imesema kama familia wanataka serikali ite mkono wake lazma wapate consent kutoka kwa familia

Issue ni Situation aliyonayo Mgonjwa.Ubaya wake Ummy siyo Doctor wala Ndugai siyo Doctor.Walitakiwa kupata situation analysis toka kwa madaktari kabla ya kuropoka pale pale.

Ummy alitakiwa kwenda one step kuuliza daktari situation analysis report angeambiwa siya sfae kumpeleka Muhimbili kwa sababu ya vifaa period.

Mkuu tuache siasa,tuweke miguu yetu kwenye miguu ya Lissu na familia yake.Tuache kabsia siasa za hawa watawala wetu mnaowapigia makofi.

Sisi ndiyo watanzania,wakati wanakata keki ya Taifa sisi tunalia njaa.Wakiiba hawapelekwei magereza wanenda kusafisha hospitali za palestina hapa Dar.

Tuache chuki,visasi na ubaguzi,tuenende kwa imani,upendo na utu tutafika.Ummy na Spika walichapia waliporopoka
 
umuhimu wa kumsaidia matibabu nchi yoyote umeonekana baada ya wiki 2 za kulazwa Nairobi
kweli unafki utawamaliza nyie
mbona mlikataa toka day one kugharamia matibabu yake
dhamira zinawasuta, mnatapatapa sasa

NB: Hajatushinda mgonjwa wacha tuendelee kumchangia vimia mia vyetu, nyie tulieni tu kwa sasa
Toka day one wangegaramia kama wangepata ruhusa ya familia na hata baada ya hizi wiki mbili wanataka kama watapata ruhusa ya familia wasipopata atatibiwa kwa michango ya makamanda
 
Shida yenu kelele nyingi lakini michango kiduchu. Yaani hadi sasa jumla ya michango (Matiko Account) ni TSh 11.4 milioni tu. Yaani hata kama ingalikuwa michango kwa ajili ya send off party ya binti wa Matiko saa hizi ingalikuwa na mamia ya mamilion.

Watu wanawahurumia mnavyotapeliwa kwenye michango hiyo. Ona sasa unasema kwamba hata huo mchango wa Sh 45 milion wa wabunge hauonekani uliko. Ni aibu kwa chama na taifa. Serikali inataka kuwanusuru mzigo huo mliojibebesha wenyewe ambao umewalemea, nyie hamtaki. Au kuna kitu mnanufaika nacho?

Huwa sipendi kujibu watu wenye akili za kipumbavu kama za kwako.Sasa si ukamuulize Katibu wa Bunge akujibu kuhusu pesa za Bunge.Unauhakika zimechangwa mi.11.4??Kama hujui please don't quote me.
 
Issue ni Situation aliyonayo Mgonjwa.Ubaya wake Ummy siyo Doctor wala Ndugai siyo Doctor.Walitakiwa kupata situation analysis toka kwa madaktari kabla ya kuropoka pale pale.

Ummy alitakiwa kwenda one step kuuliza daktari situation analysis report angeambiwa siya sfae kumpeleka Muhimbili kwa sababu ya vifaa period.

Mkuu tuache siasa,tuweke miguu yetu kwenye miguu ya Lissu na familia yake.Tuache kabsia siasa za hawa watawala wetu mnaowapigia makofi.

Sisi ndiyo watanzania,wakati wanakata keki ya Taifa sisi tunalia njaa.Wakiiba hawapelekwei magereza wanenda kusafisha hospitali za palestina hapa Dar.

Tuache chuki,visasi na ubaguzi,tuenende kwa imani,upendo na utu tutafika.Ummy na Spika walichapia waliporopoka
Umenena vyema tuache siasa naamini familia wanajua kipi ni best kwa Lissu na ndicho wanachofanya na kuamua na serikali haiwezi kuwaingilia kwa hilo
 
Nyie watu msiojulikana na ambao hamtajulikana unaudhi sana,hivi hiyo serikali kama ilikuwa inapenda sana kuyaokoa maisha ya Lissu walikuwa wapi siku zote hizo?,hao hao unaowasema kwamba wakishazika watasepa ndo wameupigania uhai wake kabla hamjaumbuliwa na albadil
Wanafki sana
kama wanapenda Lissu apone
1. wangewakataza watu kukusanyika kwa ajili ya kumfanyia ibada/maombi?
2. wangewakataza watu kuchangia damu?
3. wangewakamata watu wanaovaa/kuuza ma t-shirt ya Lissu apone

Kweli damu ya Lissu iliyomwagwa imeanza kufanya kazi kwa kuwavuruga watu
 
Toka day one wangegaramia kama wangepata ruhusa ya familia na hata baada ya hizi wiki mbili wanataka kama watapata ruhusa ya familia wasipopata atatibiwa kwa michango ya makamanda
Toka day one mlikataa Lissu kutibiwa nje ya nchi, mlitaka aende Muhimbili iweje leo mseme mko tayari kumpeleka nchi yoyote kutibiwa?
 
Wanafki sana
kama wanapenda Lissu apone
1. wangewakataza watu kukusanyika kwa ajili ya kumfanyia ibada/maombi?
2. wangewakataza watu kuchangia damu?
3. wangewakamata watu wanaovaa/kuuza ma t-shirt ya Lissu apone

Kweli damu ya Lissu iliyomwagwa imeanza kufanya kazi kwa kuwavuruga watu
Mbona sisi kanisani kwa GWAJIMA tulimuombea na hatukukamatwa?
Hakuna aliyekatazwa kuchangia damu ila walikatazwa kufanya mikusanyiko kinume na sheria
Hakuna mtu yeyote aliyekamatwa kwa kuvaa tshrt kama yupo weka picha
 
Mimi ndio ni mfia tumbo wewe ni mfia mgongo ndege iliyokua pale Dodoma airport ya NHIF ikimgojea Lissu iliandaliwa na Lowasa?Hizo arangement zilifanywa na bunge
wewe kwa hiyo unataka kutuaminisha kwa hali ile alitakiwa kupelekwa Muhimbili??Kama hospital inayoeleweka na vifaa bado hali tete ingekuwaje katika hiyo walitaka kumpeleka??
 
Nyie watu msiojulikana na ambao hamtajulikana unaudhi sana,hivi hiyo serikali kama ilikuwa inapenda sana kuyaokoa maisha ya Lissu walikuwa wapi siku zote hizo?,hao hao unaowasema kwamba wakishazika watasepa ndo wameupigania uhai wake kabla hamjaumbuliwa na albadil
Sawa,now let us focus somewhere else. Mgonjwa atibiwe kama raia mwingine yeyote ili apone na awe shahidi wa kutetea damu yake iliyomwagika. Mengine ni uzushi tu. Kuna nyakati hata mchawi hupewa mgonjwa amtibu mwenyewe! Si anajua mazindiko aliyofanya.
 
Toka day one mlikataa Lissu kutibiwa nje ya nchi, mlitaka aende Muhimbili iweje leo mseme mko tayari kumpeleka nchi yoyote kutibiwa?
Huwezi elewa dada ili upatiwe matibabu nje ya nchi inahitaji rufaa kutoka katika hospital dhil;izoruhusiwa na wizara ya afya na ustawi wa jamii pitia hii link uangalie orodha ya hizo hospital Dodoma ikiwepo ni tag dada

Matibabu | Tanzania High Commission - New Delhi
 
Kaitampunu: Unajua hawa wana CCM uelewa wao ni finyu sana! Anadai mihimili ya dola kila mmoja unajitegemea. Juzi tu tumemsikia mkuu wa mhimili mmoja anatutangazia kwamba alipigiwa simu na spika kuomba ushauri wa majina ya wanakamati wa bunge, pia tukamsikia akimagiza spika awashughulikie ndani ya bunge wabunge waropokaji na yeye atawashughulikia nje ya bunge. mara tukamsikia akiagiza kuwaweka ndani wanasheria wanaowatetea watuhumiwa wa uhalifu. Mara tukasikia akiwaagiza mahakimu kuwahukumu watu hasara ili walipe faini na hizo hela atawapa mahakama wafanyie shughuli zao. Sasas hapo mimi naona kwa maoni yangu ni muhimili mmoja tu upo.
 
Mbona sisi kanisani kwa GWAJIMA tulimuombea na hatukukamatwa?
Hakuna aliyekatazwa kuchangia damu ila walikatazwa kufanya mikusanyiko kinume na sheria
Hakuna mtu yeyote aliyekamatwa kwa kuvaa tshrt kama yupo weka picha

Nilichoandika ndio ukweli HALISI hizo picha hata wewe utakuwa umeziona
 
Umenena vyema tuache siasa naamini familia wanajua kipi ni best kwa Lissu na ndicho wanachofanya na kuamua na serikali haiwezi kuwaingilia kwa hilo

Alichofanya Mkewe ni kuifanya alichoelekezwa na Mumewe kwenye meseji na simu alizompigia kabla hajamiminiwa risasi.Na aliposhtuka alimuuliza amempeleka wapi.Hivyo tuheshimu pia matakwa ya mgonjwa.

Sisi ni watanzania,hakuna mwenye hati miliki.Anayefurahia DAMU kumwagika ni mCHAWI tu.

Ndiyo sababu nasema ukiona hutaki kuchangia kwa busara na hekima unamute tu unaacha wengine waendelee.Ila bado nitasema tena na tena Ummy na Ndugai walikuwa kwenye nafasi kubwa zaidi ya kuyafanya maisha ya Lissu rahisi zaidi kama wangasikiliza matakwa ya FAMILIA on sport.
 
Kaitampunu: Unajua hawa wana CCM uelewa wao ni finyu sana! Anadai mihimili ya dola kila mmoja unajitegemea. Juzi tu tumemsikia mkuu wa mhimili mmoja anatutangazia kwamba alipigiwa simu na spika kuomba ushauri wa majina ya wanakamati wa bunge, pia tukamsikia akimagiza spika awashughulikie ndani ya bunge wabunge waropokaji na yeye atawashughulikia nje ya bunge. mara tukamsikia akiagiza kuwaweka ndani wanasheria wanaowatetea watuhumiwa wa uhalifu. Mara tukasikia akiwaagiza mahakimu kuwahukumu watu hasara ili walipe faini na hizo hela atawapa mahakama wafanyie shughuli zao. Sasas hapo mimi naona kwa maoni yangu ni muhimili mmoja tu upo.
Kuombe kuomba ushauri mi nilijua afanye yeye maamuzi khaa bavichaa buana
 
Mkuu wewe umechanga?
Alichofanya Mkewe ni kuifanya alichoelekezwa na Mumewe kwenye meseji na simu alizompigia kabla hajamiminiwa risasi.Na aliposhtuka alimuuliza amempeleka wapi.Hivyo tuheshimu pia matakwa ya mgonjwa.

Sisi ni watanzania,hakuna mwenye hati miliki.Anayefurahia DAMU kumwagika ni mCHAWI tu.

Ndiyo sababu nasema ukiona hutaki kuchangia kwa busara na hekima unamute tu unaacha wengine waendelee.Ila bado nitasema tena na tena Ummy na Ndugai walikuwa kwenye nafasi kubwa zaidi ya kuyafanya maisha ya Lissu rahisi zaidi kama wangasikiliza matakwa ya FAMILIA on sport.
 
Nilichoandika ndio ukweli HALISI hizo picha hata wewe utakuwa umeziona
attach hapa mkuu mbona sijaskia kanisa lolote likivamiwa na waumin kukamatwa ndan ya kanisa kisa wanamuombea Lissu?Mimi nilikuwepo ufufuo na uzima na baba askofu Gwajima aliongoza maombezi mbona tulimaliza salama?Kanisa gan hilo walilokamatwa?
 
Mkuu mtoa hoja pamoja na maelezo yako kuonekana ni ya kisheria na ndivyo ilivyotakiwa kuwa hivyo BUT hicho kitu hakifanyiki ndani ya nchi yetu;elewa nchi yetu ina mfumo wa EXECUTIVE kwa hiyo mpangaji wa pale magogoni ana sheria na uamuzi.mfano ndiye yeye aliyepiga maarufuku BUNGE(Mhimili mwingine)kuwa live kwenye tv,elewa kuwa ana uwezo wa kulivunja bunge muda wowota anaotaka,elewa ana wabunge zaidi ya kumi anaowateuwa yeye means hawa wanawajibika kwake moja kwa moja;kwa hiyo kutauambia kuwa hii mihimili inajitegemea huu ni uongo,mahakama (mhimili mwingine)huu nao hauko huru elewa our no 1 ndiye anaeteuwa hawa majaji wakati demokrasi ya kweli kuwa jaji lazima uombe kama kazi zingine,kwa kifupi mihimili yote hii inategemea mhimili wa pale magogoni utakuwa unaelekeza nini,and for your informations tuna nchi hapa SADCC ambazo cabinet inaapa kwa jaji means watalinda katiba sio kwa rais means watawajibika kwake.pls unapokuwa upo kwenye comfort zone yako usifikirie wote tupo kwenye raha hizo,
 
Back
Top Bottom