Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Knowless, kwanza asante kunigeshimu, heshima ya kweli inajegwa, haiji tuu hivi hivi, sasa kama nilijijengea heshima huko nyuma lakini kwenye issue hii ya Lowassa ninajivunjia heshima yote niliyojijengea!, then nakubali heshima hiyo na ipotee.
Mimi siogopi kugombana na rafiki/ndugu na jamaa zangu katika jambo ambalo tutakuja kupatana!. Kuhusu Lowassa bora tugombane tuu na heshima ishuke, mbele ya safari tutapatana tuu na nitaijenga tena!.
Nikimalizia la bei yangu, amini usiamini mimi sina bei, ni bure kabisa!. Kama una issue yoyote kwa maslahi ya taifa, nitasimama na wewe kama ninavyosimama na El ateuliwe kuwa mgombea wa CCM!.
Nyerere akisikia haya, atageuka kaburini kwake!!!!:A S embarassed::shock: