Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

Knowless, kwanza asante kunigeshimu, heshima ya kweli inajegwa, haiji tuu hivi hivi, sasa kama nilijijengea heshima huko nyuma lakini kwenye issue hii ya Lowassa ninajivunjia heshima yote niliyojijengea!, then nakubali heshima hiyo na ipotee.

Mimi siogopi kugombana na rafiki/ndugu na jamaa zangu katika jambo ambalo tutakuja kupatana!. Kuhusu Lowassa bora tugombane tuu na heshima ishuke, mbele ya safari tutapatana tuu na nitaijenga tena!.

Nikimalizia la bei yangu, amini usiamini mimi sina bei, ni bure kabisa!. Kama una issue yoyote kwa maslahi ya taifa, nitasimama na wewe kama ninavyosimama na El ateuliwe kuwa mgombea wa CCM!.

Nyerere akisikia haya, atageuka kaburini kwake!!!!:A S embarassed::shock:
 
1. At leaast in theory nchi hii ni ya kidemokrasia. Watu wengine wanapendelea El awe kiongozi wao, na wewe mpendelee wako.
2. Hataki sana madaraka. Kama umesahau, aliacha Uwaziri Mkuu bila kushurutishwa.
3. Anafanya hivyo sasa hivi kwa kuchangia miradi ya maendeleo, mfano ujenzi wa shule ya BAKWATA huko KIgamboni na ujenzi wa shule za wasichana wa Kimasai huko Monduli. Lakini ataweza kusaidia mengi zaidi na wengi zaidi akiwa Ikulu kuliko serikali ya sasa yenye kusaidia wachache. Historia yake inaonyesha hivyo.

Your answers leave more questions than answers.
Uchangiaji unaosema wewe ni baada ya kuachia madaraka? Una hakika aliachia kwa hiari yake???????
 
Lowasa ni mtu alibahatika kujenga nyumba 3 katika kipindi cha awamu ya kwanza nyumba 1 ikiwa monduli na 2 dar moja wapo akiwa kajenga masaki wakati hiyo ya masaki wakati anaimalizia ndo nchi ya africa kusini inapata uhuru ubarozi wa A.kusini ukapanga pale kwa ghalama ya dora 8000 kwa mwezi.bahati nyingine wakati kampuni ya vodacom inaingia nchini aliweza chukua mkopo kwa kutumia nyumba yake hiyo ya masaki na kupata sh.200 mln zilizo muwezesha kuanzisha kampuni ya Alfatell ambayo ni vodacom provader inayo muingizia sh.4.5bln kwa mwaka mwanae akiwa ndo mkurugezi kwa ufupi hiyo ndo jeuri ya pesa ya Lowasa

Asante kwa information hii. hebu tuelezee hiyo bahati ya kujega nyumba 3 katika awamu ya kwanza aliipataje? Alipata bahati nasibu au aliokota pesa? Ukijibu hili utakuwa umefunga kabisa hii thread.
 
Your answers leave more questions than answers.
Uchangiaji unaosema wewe ni baada ya kuachia madaraka? Una hakika aliachia kwa hiari yake???????

Are you serious bro? Hujui mchango wa Lowassa? Miimi sioni mtu wa kumfananisha naye CCM sasa hivi.Tatizo mkiambiwa taja altenative yenu mnabaki kimya. Labda tuanzie hapo.
Kuhusu kujiuzuru kwa hiyari yake, pitia hansard za bunge, zina ushahidi kamili wa hilo.
 
Ni kwlei kabisa, kwa maana hadi sasa hakuna aliyweza kujibu utajili wake umetokana na nini. waakti watetezi wake walipigania rekodi yake ya utendaji (ambayo inafutwa kabisa na ufisadi wake), wana JF wanauliza utajili wake umetoka wapi? This is the dilema, ndio maana huu mjadala hauishi

Naona tunaanza kukubaliana sasa. Viongozi wa sasa wamekosa vyote , utendaji na uadilifu. Ni mafisadi na uchapa kazi wao ni ziro.
Watanzania sasa hivi wanataka mtendaji, mchapakazi, wamechoka na porojo. Wanataka mtu atakayeleta umeme wa uhakika, barabara za kupitika mwaka wote, masoko ya mazao yao, polisi waadilifu, wafaidike na raslimali zao na mimi binafsi nataka serikali yangu iwe credible. Mtu anayeweza ku- restore credibility ya nchi hii kitaifa na kimataifa ni EL peke yake.
Rwanda walikua vitani juzijuzi leo wanauza kahawa yao moja kwa moja STARBUCKS [google that]. Sisi bado tunauza kwa mawakala wezi wanaopunja wakulima kwa kuchezea mizani na kulipwa kwa mkopo.
Tunang'ang'ania dawa ile ile ambayo haitibu. Tutafute dawa itakayoponya matatizo yetu. Dawa ni EL.
 
Najiuliza na kukosa majibu Mh.Lowasa si mfanyabiashara,zaidi ya kuwa mbunge,nimejionea siku za hivi karibuni katika vyombo vya habari akichangia mambo mengi hasa katika miradi ya maendeleo  nakatika taasisi binafsi na zamakanisa.Huyu mweshimiwa pesa anazitoa wapi?je alikwisha tangaza mali zake hadharani?na kipato chake kiko vipi?Alipokuwa waziri katika awamu ya tatu kwa nini akufanya hivyo?na alipokuwa waziri mkuu kwa nini alishidwa kufanya hivyo?Na kwa nini safari zake na hotuba zake zinapewa umuhimu mkubwa katika vyombo vyetu vya habari?

We umwona Lowasa tu katika hilo? Wengine huwaoni?. Sitta naye siku za usoni amekuwa akifanya hivyo. Kwa nini Lowasa tu? Mi nadhani ungemuuliza mwenyewe.
 
Hebu jikumbushe ubabe wake ulivyogonga mwamba kwa DC wa Shinyanga mjini.

Huyo alikuwa James Yamungu. Alikua mkuu wa wilaya moja mkoani Mwanza issue hii ilipotokea.[ naweza kusahihishwa hapa].
Nafurahi kwamba ameishastaafu. Huyu ni mfano wa viongozi wasiotakiwa kabisa katika nchi hii. Aliulizwa swali rahisi tu na yeye akajibu " usinifundishe kazi" . Eti kwa sababu amekua DC kwa muda mrefu.
Ni watu kama hawa kila siku ukienda ofisini unaambiwa njoo kesho. Kuna walimu wanafuatilia mishahara yao hawajalipwa miezi na miezi, polisi wanahamishwa bila kulipwa hela ya uhamisho, wastaafu wapo Kigoma mpaka waje Dar kufuatilia pensheni, ruzuku za KILIMO KWANZA zinaishia mifukoni mwao, hawana hata chembe ya ubunifu wa kutatua matatizo.
Mbaya zaidi ni pale GREAT THINKERS kama wewe tunapowaona watu kama hawa wanafaa kutuongoza na kuwasifia !!!
 
Kama upendo wake kwa swahiba wake na nchi yake limekuwa kosa, then tumhukumu kwa hilo!. Ila kwa sisi tulio na imani ya Kikristo, Lowassa ana upendo wa Agape kwa chama chake!. Kwa maana jinsi Mungu alivyoupenda ulimwengu, hata akamtoa mwanawe mpendwa wake, aje kuukomboa ulimwengu, ambapo alizibeba dhambi zetu na kwa kuteswa kwake, sisi tuliponywa!.

Vivyo hivyo kwa jinsi Lowassa alivyoipenda chama chake cha Mapinduzi, akajitoa nafsi yake, akaubeba msalaba wa Richmond, na kwa kuteswa kwake, CCM ikaponywa!.

Kuna mahali tumeelekezwa tuchukuliane mizigo kwa upendo!. Ule msemo wa kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, unaapply kwa ile siku ya mwisho tuu, ile siku ya hukumu!.

Mimi sio mwana CCM na sina chama, hivyo nyinyi wana CCM wenye mapenzi ya dhati kwa chama chenu, just imagine ingekuwaje kama Lowassa asingebeba hilo zigo la Richmond?!. Mngekuwa wageni wa nani saa hizi?. Hao mnaowasifia kwa kuwaimbia nyimbo za shangwe na mapambio si wangeshaozea Keko kitambo!. Badala ya kumshukuru Lowassa kwa kukinusuru chama chenu ndio kwanza mnampigia vuvuzela la kujivua gamba?. CCM isipomsimamisha Lowassa, itapata laana ya ukosefu wa shukrani na itaadhibiwa milele!.

EL hawezi na hastahili kufanaishwa na alichokifanya Masihi. Yesu kwanza hakuwa sehemu ya tatizo bali alikuwa mkombozi. sasa EL katukomboaje kwa kubeba zigo si lake?

Mimi si msisiem but I am only a 'friend' of politics (just like u I guess...lol), na ndio maana nalaani kabisa yeye kujitwika zigo lisilomuhusu eti kwa mapenzi ya chama, mimi na wengine kama mimi tungependa hao waimbiwa mapambio wabebe zigo lao waende nalo Keko. Sngekuwa katukomboa sana Watanzania. Tazamama tunavyoangamia na tunavyopoteza muda!!
Sasa hapo tu alikuwa WM je akiwa raisi si nuksi kabisa? si atawabebea mizigo hao maswahiba mpaka aote kibiongo? sasa hapo tofauti yake na swahiba wake wa sasa itakuwa wapi?

Tunataka kiongozi atakayekuwa tayari kutoa rewards au punishments kwa wataostahili na si mambo ya kuambiana mwacheni 'mzee' akapumzike.

Pasco puhhhleeez bana!
 
Are you serious bro? Hujui mchango wa Lowassa? Miimi sioni mtu wa kumfananisha naye CCM sasa hivi.Tatizo mkiambiwa taja altenative yenu mnabaki kimya. Labda tuanzie hapo.
Kuhusu kujiuzuru kwa hiyari yake, pitia hansard za bunge, zina ushahidi kamili wa hilo.

Dr. Pombe Magufuli is a better choice than EL.
 
Naona tunaanza kukubaliana sasa. Viongozi wa sasa wamekosa vyote , utendaji na uadilifu. Ni mafisadi na uchapa kazi wao ni ziro.
Watanzania sasa hivi wanataka mtendaji, mchapakazi, wamechoka na porojo. Wanataka mtu atakayeleta umeme wa uhakika, barabara za kupitika mwaka wote, masoko ya mazao yao, polisi waadilifu, wafaidike na raslimali zao na mimi binafsi nataka serikali yangu iwe credible. Mtu anayeweza ku- restore credibility ya nchi hii kitaifa na kimataifa ni EL peke yake.
Rwanda walikua vitani juzijuzi leo wanauza kahawa yao moja kwa moja STARBUCKS [google that]. Sisi bado tunauza kwa mawakala wezi wanaopunja wakulima kwa kuchezea mizani na kulipwa kwa mkopo.
Tunang'ang'ania dawa ile ile ambayo haitibu. Tutafute dawa itakayoponya matatizo yetu. Dawa ni EL.

Hapana, hapana, hapana, Hukunielewa. I agree with most of the stuff you have wriiten, ndio vity ambavyo watanzania wanahitaji kwa leo hii. A strong leader with a vision. lakini bado nakataa kwa herufi kubwa choice yako.
 
Huyo alikuwa James Yamungu. Alikua mkuu wa wilaya moja mkoani Mwanza issue hii ilipotokea.[ naweza kusahihishwa hapa].
Nafurahi kwamba ameishastaafu. Huyu ni mfano wa viongozi wasiotakiwa kabisa katika nchi hii. Aliulizwa swali rahisi tu na yeye akajibu " usinifundishe kazi" . Eti kwa sababu amekua DC kwa muda mrefu.
Ni watu kama hawa kila siku ukienda ofisini unaambiwa njoo kesho. Kuna walimu wanafuatilia mishahara yao hawajalipwa miezi na miezi, polisi wanahamishwa bila kulipwa hela ya uhamisho, wastaafu wapo Kigoma mpaka waje Dar kufuatilia pensheni, ruzuku za KILIMO KWANZA zinaishia mifukoni mwao, hawana hata chembe ya ubunifu wa kutatua matatizo.
Mbaya zaidi ni pale GREAT THINKERS kama wewe tunapowaona watu kama hawa wanafaa kutuongoza na kuwasifia !!!


Nimefurahi kuona kwamba una kumbu kumbu za events. Unafahamu alichokuwa anafanya mshikaji wako EL wakati anatembelea Mikoani/Wilayani/halmashauri? Behind the scenes??? Unajua ni kwa nini walikuwa wanamwogopa (ukiacha swala la yeye kuhakikisha kila anachoambiwa?????????))) Behind the scenes???? si unajua alivyoisuka TAMISEMI kwa ajili ya haya unayomsaidia kupigania hapa?
 
Kwame Nkrumah, asante kwa hili, kama jf ni reflection ya cross section ya jamii yetu Watanzania, basi safari ya ukombozi wa kweli bado ikingali mbali!. Kusema ukweli sijawahi kuwazia kuingia kwenye siasa, ila issue ya ignorance ya watu wetu inataka kunilazimisha kufika huko, kusema kweli kuna baadhi ya mijitu Mitanzania ni mijinga ajabu mpaka natamani nishike nyundo ni komelee misumari ya sense kwenye mibichwa yao!.
Wanazidi ujinga wako ww!!
 
Kwajkweli Elimu ya uraia bado inahitajika i conquer na wewe mtu kama alikua PM maana yake ndio kiongozi wa shughuli zote za serikali huwezi hata kidigo kumtenganisha EL na Richmond nadhan watu wanachojaribu kufanya ni kumsafisha Lowasa na Maji Taka na sidhan kama atasafishika .
 
Hivi hawa wanaotumwa kusafisha Lowasa wamelipwa shiling ngapi? Niwambie tu kwamba huwezi kumsafisha mtu kwakutumia maji taka maana hatosafishika utazidi kumchafua. EL alikua PM kwahiyo alikua kiongozi wa shughuli zote za serikali therefore huwezi kumtenganisha na Richmond wanaosema utajiri wake ni clean wafanye utafiti kidogo
 
Hivi hawa wanaotumwa kusafisha Lowasa wamelipwa shiling ngapi? Niwambie tu kwamba huwezi kumsafisha mtu kwakutumia maji taka maana hatosafishika utazidi kumchafua. EL alikua PM kwahiyo alikua kiongozi wa shughuli zote za serikali therefore huwezi kumtenganisha na Richmond wanaosema utajiri wake ni clean wafanye utafiti kidogo

we ndo ufanye utafiti nani akusaidie.kama umepewa hela na alshabab au boko haram zitumia kuweka maisha yako vizuri ili ubarikiwe zaidi kwa kuwa jamii itafaidi kwa njia nyingi na c kunywa gahwa na kucheza bao mwishowe wataku cameroon.lowasa is our next presdaa
 
Wana JF, kwa nini watu hawatilii mashaka utajilli wa BAKHRESA, DEWJI, na kila kukicha wanazungumzia wa Lowassa? hao wengine, hata kama waliongeza utajili kwa njia nyingine, basi chanzo chao kinaeleweka. Hivi Baba yake Lowasaa alikuwa mfanya biashara wa nini vile? Naomba mnikumbushe.

Hivi mnakumbuka nani vile aliagiza zile LAND CRUISERS (za mara ya kwanza, (yaliyokuwa yanaitwa mashangingi ya wabunge) kwa wabunge wote)???? Kumbukeni kwamba wakati ule serikali iliknunua magari na kwuakopesha wabunge, kabla ya hapo walikopeshwa LAND ROVER 110.
Ni kiongozi gari alisimamia hili deal? Ile 10% ilikwenda wapi? Imagine 10% of all the Land cruisers???

Wakati ule Lowasa alikuwa ana madaraka gani kule kwenye ofisi waziri Mkuu?

Hiii inaweza kusadia kuelezea, kwa kiasi fulani, utajili wa ajabu kwa mtu ambaye almost maisha yake yote amekuwa mfanyakazi wa serikali.

enzi za landrover 110 gari za wabunge zilikuwa mali ya serikali. after hapo ndiyo walianza kukopeshwa. ila el ni mwizi na hafai.
 
Back
Top Bottom