Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,035
- 144,386
Mh,Captain Komba hivi wewe na kundi lako mnajua kibarua mlichonacho mwaka 2015 cha kuinadi ccm?Mnajua kuwa zile single zenu za ccm nambari one sasa hazikubaliki?Mnajua uelewa wa wananchi juu ya haki zao unakua wakati nyinyi mmejisahau?
Yaliyotokea Mtwara ni ushahidi tosha kuwa zile zama za kuinadi ccm na single yenu ya ccm nambari one haina tena mashiko.
Hivi mtaendelea kutuimbia ccm nambari one wakati haya yamo katika mioyo ya watanzania:-
1.Migomo ya walimu na madaktari iliyopuuzwa.
2.Mauji ya Daudi Mwangosi.
3.Kipigo na mateso ya Dr.Ulimboka
4.Mwenendo hasi wa wabunge wa ccm bungeni.
5.Kuongezeka kwa ugumu wa maisha.
6.Ugumu wa soko la ajira.
7.Ahadi hewa.
8.Utoroshaji wa wanyama pori
9.Kukithiri kwa wizi na ufisadi.
2015 labda mbadili mbinu maana hata kanga na vitenge vilivyoandikwa ccm nambari one itakua ni fedheha na itahitaji ujasiri kuzivaa.
Mashairi yenu yamechuja na yanakera masikioni.Pia yamekosa uhalisia na maisha halisi ya mtanzania.
Yaliyotokea Mtwara ni ushahidi tosha kuwa zile zama za kuinadi ccm na single yenu ya ccm nambari one haina tena mashiko.
Hivi mtaendelea kutuimbia ccm nambari one wakati haya yamo katika mioyo ya watanzania:-
1.Migomo ya walimu na madaktari iliyopuuzwa.
2.Mauji ya Daudi Mwangosi.
3.Kipigo na mateso ya Dr.Ulimboka
4.Mwenendo hasi wa wabunge wa ccm bungeni.
5.Kuongezeka kwa ugumu wa maisha.
6.Ugumu wa soko la ajira.
7.Ahadi hewa.
8.Utoroshaji wa wanyama pori
9.Kukithiri kwa wizi na ufisadi.
2015 labda mbadili mbinu maana hata kanga na vitenge vilivyoandikwa ccm nambari one itakua ni fedheha na itahitaji ujasiri kuzivaa.
Mashairi yenu yamechuja na yanakera masikioni.Pia yamekosa uhalisia na maisha halisi ya mtanzania.