Mgonjwa wa virusi vya Corona aripotiwa Kenya, mgonjwa wa kwanza apatikana

atcl haiendi popote kwahivyo hata la kufanya hawajui!

IMG_20200128_170432.jpg
 
NI maradhi gani hayo tuliyaficha?
Elimu yako ndio ina mapungufu ya kutosha na ndio maana ulikuwa unashirikiana na hao mabwana zenu kueneza propaganda kuwa Tanzania tunaficha uwepo wa ebola halafu leo hii unakana eti tena bila aibu,
Mlifungua nyuzi za kijinga za kuisema Tanzania inaficha uwepo wa ebola,
Hizi nyuzi ni akili gani ilikuwa inakutuma kuzifungua kwa kudai Tanzania Kuna ebola?
Kwanini hukufungua nyuzi za kuwakemea hao mabwana zenu kwa propaganda walizo kuwa wanazieneza au kwa sababu mnapenda kuwa shobokea wazungu kwa hiyo kila wanachosema huwa ni lazima muamini!
Hii ni baadhi ya comment

Ndio maana nikasema inabidi nikuelewe maana elimu yenu ovyoo sana, mtu unashindwa kusoma na kuelewa, hamna sehemu hata moja kwenye nyuzi zangu nilisema kuwa ebola iko confirmed, muda wote nilikua narudia kile WHO wanakisema, kwamba walikua wanaomba waruhusiwe wakague wenyewe, nyie mkaficha maradhi hamuwapi hiyo fursa, hayo ni maisha ya hovyoo sana, kuficha maradhi na kukataa ukaguliwe, kwanza aina ya maradhi yenye maangamizi kama ebola sio kitu cha kujifungia ndani, unafaa kuruhusu wataalam waje wakague.

Kwetu hapa narudia tena, na kama una utindio wa ubongo hutaelewa hata nikikujibu mara mia, kwetu hatufichi wala kukataa kukaguliwa, WHO au yeyote anayo ruksa aje na wataalam wake wakague sampuli zote, waingie kote kote, maana hiki sio kitu cha kuficha, lazima tushirikiane dunia yote kukiangamiza.
Ikitajwa kwetu kuna mtu anashukiwa kuwa na ebola, visenti vya utalii haviwezi kutuzuia kuruhusu kukaguliwa, bora tuvikose kwa mwaka mmoja ila tusiangamie kwa tamaa ya hela, huo utakua ujinga.
Mleta mda humu nilichokua namshauri, alete habari kama alivyoikuta, asichanganye changanye mara anasema "inashukiwa" mara anasema "imethibitishwa".
Haitokuja hata siku moja tufanye ujinga kama mlivyofanya, maradhi sio kitu cha kufichwa hadi dunia nzima inaanza kuwaomba mtoe ushirikiano.
 
Ndio maana nikasema inabidi nikuelewe maana elimu yenu ovyoo sana, mtu unashindwa kusoma na kuelewa, hamna sehemu hata moja kwenye nyuzi zangu nilisema kuwa ebola iko confirmed, muda wote nilikua narudia kile WHO wanakisema, kwamba walikua wanaomba waruhusiwe wakague wenyewe, nyie mkaficha maradhi hamuwapi hiyo fursa, hayo ni maisha ya hovyoo sana, kuficha maradhi na kukataa ukaguliwe, kwanza aina ya maradhi yenye maangamizi kama ebola sio kitu cha kujifungia ndani, unafaa kuruhusu wataalam waje wakague.

Kwetu hapa narudia tena, na kama una utindio wa ubongo hutaelewa hata nikikujibu mara mia, kwetu hatufichi wala kukataa kukaguliwa, WHO au yeyote anayo ruksa aje na wataalam wake wakague sampuli zote, waingie kote kote, maana hiki sio kitu cha kuficha, lazima tushirikiane dunia yote kukiangamiza.
Ikitajwa kwetu kuna mtu anashukiwa kuwa na ebola, visenti vya utalii haviwezi kutuzuia kuruhusu kukaguliwa, bora tuvikose kwa mwaka mmoja ila tusiangamie kwa tamaa ya hela, huo utakua ujinga.
Mleta mda humu nilichokua namshauri, alete habari kama alivyoikuta, asichanganye changanye mara anasema "inashukiwa" mara anasema "imethibitishwa".
Haitokuja hata siku moja tufanye ujinga kama mlivyofanya, maradhi sio kitu cha kufichwa hadi dunia nzima inaanza kuwaomba mtoe ushirikiano.
Elimu yangu ni bora mara Mia ya hiyo elimu yako uchwara uliyoenda kufundishwa ukabila na kubaguana bila kusahau fake English accent,
Bumunda utabaki kuwa Bumunda tu hata uandike insha kurasa kibao,
Ulivyokuwa unafungua hizo nyuzi eti unawanukuu hao mabwana zenu kuwa Tanzania inaficha ebola eti hatutaki kuruhusu mabwana zenu wachunguze ebola,
Leo eti bila aibu ndio unajifanya kutambua eti huo ugonjwa ukiwa Kenya utaenea popote lakini kipindi cha propaganda za kuwepo kwa ebola hukufungua nyuzi za kuwakemea hao mabwana zenu waliokuwa wanasema tunaficha uwepo wa ebola.... Cha kushangaza ulikuwa mstari wa mbele kufungua hizo nyuzi uchwara c & p kutoka kwa hao mabwana zenu,
Halafu unaandika "tukaficha maradhi" maradhi gani tuliyaficha?
Hayo maradhi yaliyofichwa yako wapi?
 
Elimu yangu ni bora mara Mia ya hiyo elimu yako uchwara uliyoenda kufundishwa ukabila na kubaguana bila kusahau fake English accent,
Bumunda utabaki kuwa Bumunda tu hata uandike insha kurasa kibao,
Ulivyokuwa unafungua hizo nyuzi eti unawanukuu hao mabwana zenu kuwa Tanzania inaficha ebola eti hatutaki kuruhusu mabwana zenu wachunguze ebola,
Leo eti bila aibu ndio unajifanya kutambua eti huo ugonjwa ukiwa Kenya utaenea popote lakini kipindi cha propaganda za kuwepo kwa ebola hukufungua nyuzi za kuwakemea hao mabwana zenu waliokuwa wanasema tunaficha uwepo wa ebola.... Cha kushangaza ulikuwa mstari wa mbele kufungua hizo nyuzi uchwara c & p kutoka kwa hao mabwana zenu,
Halafu unaandika "tukaficha maradhi" maradhi gani tuliyaficha?
Hayo maradhi yaliyofichwa yako wapi?

Hehehe!! Naona umeshindwa kabisa kujenga hoja, unazunguka mbuyu, ila kama nilivyosema nalaumu elimu yenu, anyway kwa kifupi nakuacha na hilo nililokuambia sisi hatukatazi waje wakague, hatufichi maradhi kama nyie, waje WHO au mtaalam yeyote, hamna kitu kibaya kama umaskini, yaani unaogopa kupoteza visenti vya utalii mpaka unaamua bora uangamie kwa kitu hatari.
 
Tatizo lake ugonjwa unachukua siku tano mpaka ukuangushe



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hehehe!! Naona umeshindwa kabisa kujenga hoja, unazunguka mbuyu, ila kama nilivyosema nalaumu elimu yenu, anyway kwa kifupi nakuacha na hilo nililokuambia sisi hatukatazi waje wakague, hatufichi maradhi kama nyie, waje WHO au mtaalam yeyote, hamna kitu kibaya kama umaskini, yaani unaogopa kupoteza visenti vya utalii mpaka unaamua bora uangamie kwa kitu hatari.
Nijenge hoja na bumunda kama wewe?
Unarudia tena kusema tunaficha maradhi... Hayo maradhi yako wapi?
Unaweza vipi kuficha ebola?
Umasikini ni mbaya na ndio maana wakenya wanaenda chooni kwa hisani ya Wachina, warusi, waarabu na wazungu,
Matatizo yakiwakuta eti ndio mnaanza kujifanya mko humble wakati yakitokea kwa jirani ndio kwanza kuchekelea kwa kufungua nyuzi za za kijinga,
Failed state.
 
Nijenge hoja na bumunda kama wewe?
Unarudia tena kusema tunaficha maradhi... Hayo maradhi yako wapi?
Unaweza vipi kuficha ebola?
Umasikini ni mbaya na ndio maana wakenya wanaenda chooni kwa hisani ya Wachina, warusi, waarabu na wazungu,
Matatizo yakiwakuta eti ndio mnaanza kujifanya mko humble wakati yakitokea kwa jirani ndio kwanza kuchekelea kwa kufungua nyuzi za za kijinga,
Failed state.

Hapo utakua umelewa hata nashindwa kusoma unachoandika maana wewe mwenyewe utakua hujui unaandika nini, haya usiku mwema.
 
Ndio nimesema nilishazoea mapungufu ya elimu yenu, huwa mumeganda sio mchezo aisei, angalia na urudie huo uzi wangu mara kumi nahisi utafahamu na kuelewa hamna sehemu Tanzania ililazimishwa kutangaza kama ina Ebola, kile mlikua mnaambiwa ni kwamba mtoe ushirkiano, waje wakagaue na kujiridhisha.
Sisi sio waficha maradhi kama mlivyo, hiki kirusi kama kimetajwa kushukiwa huku, waje wote tu wakague maabara, waingie mpaka jikoni, hatufichi maradhi, hii sio North Korea.
We kweli famba
Ulivyokua ukishadadia ebola ipo Tanzania umeshasahau?
 
Hakuna na haitokuja hata siku moja Wakenya tuwe na roho nyeusi kama za Watanzania, hakuna uzi hata mmoja ulifunguliwa na Mkenya yeyote wa kuchekelea Tanzania, tatizo lenu kubwa ni ukosefu wa elimu, huwapa changamoto hadi kusoma na kuelewa kunawapa matatizo.
Sina tatizo la mleta mada kutuhabarisha kuhusu huu ugonjwa kushukiwa kwetu hapa, sisi sio waficha maradhi kama nyie, kile ninachomshauri ni atupatie taarifa kama alivyozikuta, asichanganye, mara anatuambia "ugonjwa umepatikana" mara "inashukiwa".
So, unataka kusema bongo walificha maradhi ya Ebola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo utakua umelewa hata nashindwa kusoma unachoandika maana wewe mwenyewe utakua hujui unaandika nini, haya usiku mwema.
We jamaa mimi nimekuelewa kwenye hoja yako .. swali ni kama tulificha WHO wasitukague na tukaficha maradhi mlishawahi kusikia kesi yoyote kuhusu ebola Tanzania .maana najua media zenu zinajua sana kuandika kuhusu Tanzania . Tupe maandishi na machapisho kuhusu ebola nchini kwetu

Kama huna kwanini mlikua mnafungua nyuzi za kusifia hizo propaganda za wazungu ?

Na je kukataa kwetu kuchunguza huoni tulikua tunakwepa kubambikwa kesi ya uongo kuhusu ebola na hao ndugu zenu wa ulaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So, unataka kusema bongo walificha maradhi ya Ebola.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hatujui mlichoficha maana mligomea ukaguzi wa kitaalam kutoka kwa WHO, nakumbuka aliyetangaza uwezekano wa Ebola Tz alikua afisa wa serikalini huko, mkamfutia mbali kazi na kubana taarifa.
Inafahamika Ebola unaweza ukaificha aidha kwa kumnyongea mbali mshukiwa, au kumficha hadi afe au kumtibu kimya kimya maana matibabu yapo.

Sisi hatuna hizo tabia za hovyoo za uwoga uwoga kisa visenti vya utalii, umaskini kitu mbaya, tunaalika kila mmoja aje tushirikiane kama kweli hiki kirusi kiko huku, hata wataalam wenu tunawaalika tukiangamize kwa pamoja.
 
Nijenge hoja na bumunda kama wewe?
Unarudia tena kusema tunaficha maradhi... Hayo maradhi yako wapi?
Unaweza vipi kuficha ebola?
Umasikini ni mbaya na ndio maana wakenya wanaenda chooni kwa hisani ya Wachina, warusi, waarabu na wazungu,
Matatizo yakiwakuta eti ndio mnaanza kujifanya mko humble wakati yakitokea kwa jirani ndio kwanza kuchekelea kwa kufungua nyuzi za za kijinga,
Failed state.
Nzige tu huko ni shida mpaka msaada jamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom