Mgonjwa ampigia Saluti Rais Magufuli!

Mgonjwa ampigia Saluti Rais Magufuli!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Kuanzia Sekunde 0.50 hivi, mgonjwa ameshindwa kujizuia pmj na udhaifu wake amempa amiri Jeshi Mkuu Saluti!


 
Last edited by a moderator:
Halafu Dr.Kigwalagwala alipohojiwa kabla ya uchaguzi alidai hakuna wagonjwa wanaolala sakafuni…Leo hii na wenzake wameaibika
 
That's a very easy move even a kindergarten girl if chosen to be president of this country blessed adamantly with low IQ citizens can perform such circus.

Tumechoka na mbwembwe za uigizaji. Mmefyeka na kukomba hela kwenye hazina ambazo hizo hizo zingenunuliwa vitanda na T scan. Mabilion ya walipa kodi yametumika kwenye kampen yako. Bongo baaadoooooooooo yani badooo. Ila uzuri wa bongo ukiwa kiongoz ni rahis sana kutawala nakuwawin watu kisaikolojia kwa mambo madogo madogo amayo hata joti mpoki mchiz mox na kingwendu wakipewa urais wanaweza tu kufanya.

Si tupo hapa JF hamna madiliko yeyote yatakuwepo. Umaamuma wetu uliokubuhu utatuponza milele
 
Magufuli hili jambo la safari za ulaya mbona amelishikilia bango..???
 
That's a very easy move even a kindergarten girl if chosen to be president of this country blessed adamantly with low IQ citizens can perform such circus.

Tumechoka na mbwembwe za uigizaji. Mmefyeka na kukomba hela kwenye hazina ambazo hizo hizo zingenunuliwa vitanda na T scan. Mabilion ya walipa kodi yametumika kwenye kampen yako. Bongo baaadoooooooooo yani badooo. Ila uzuri wa bongo ukiwa kiongoz ni rahis sana kutawala nakuwawin watu kisaikolojia kwa mambo madogo madogo amayo hata joti mpoki mchiz mox na kingwendu wakipewa urais wanaweza tu kufanya.

Si tupo hapa JF hamna madiliko yeyote yatakuwepo. Umaamuma wetu uliokubuhu utatuponza milele

wewe baki huko copenhagen watanzania waliopiga kura wamechagua huyuhuyu ambaye weye uliyekimbia nchi unamuona hafai... kama ulihitaji mabadiliko ungerudi TZ na kupiga kura ... otherwise just shut the hell up...

hapakazi tu!
 
That's a very easy and weak move for a president to do, even a kindergarten girl if chosen to be president of this ill fated country blessed with a very high significant and overwhelming low IQ citizens can perform such political circus like visiting those poor folks in hospitals.

Tumechoka na mbwembwe za uigizaji. Mmefyeka na kukomba hela kwenye hazina ambazo hizo hizo zingenunuliwa vitanda na T scan. Mabilion ya walipa kodi yameteketea kwenye kampen yako kumdhibiti tu mtu mmoja. Bongo baaadoooooooooo yani badooo.

Ila uzuri wa bongo ukiwa kiongoz ni rahis sana kutawala nakuwawin watu kisaikolojia na kujizolea sifa za kijinga kwa mambo madogo madogooooooo ambayo hata joti, nyamayao, mpoki, mchizmox na kingwendu wakipewa urais wanaweza tu kufanya tena kwa weledi uliotukuka.

JK naye alijizolea sifa hivi hivi kwa mambo madogo madogo kumleta maximo ziara za ghafla hospitalin kuhudhuria misiba kwa fujo na kaSi ya ajab, kuwalinda maalbino kwa mdomo, kuwakingia kifua wanafunzi wakike wasipate mimba kwa mdomo na mzahaha

Si tupo hapa JF hamna madiliko yeyote yatakuwepo. Umaamuma wetu uliokubuhu utatuponza milele[/QUOTE


Acha tabia za kijinga na za kike ww!! alichokifanya kibaya rais hapo ni kipi? ulitaka akawatembelee matajir apolo hospital? unawaza kwa kutumia nn wewe?? vitu vingne bora mkaage kimya tu!!
 


wewe baki huko copenhagen watanzania waliopiga kura wamechagua huyuhuyu ambaye weye uliyekimbia nchi unamuona hafai... kama ulihitaji mabadiliko ungerudi TZ na kupiga kura ... otherwise just shut the hell up...

hapakazi tu!
nikusahihishe waliiba kura. Nilikuwepo bongo na kura nilipiga kwa rais wa mioyo ya watanzania
 
That's a very easy and weak move for a president to do, even a kindergarten girl if chosen to be president of this ill fated country blessed with a very high significant and overwhelming low IQ citizens can perform such political circus like visiting those poor folks in hospitals.

Tumechoka na mbwembwe za uigizaji. Mmefyeka na kukomba hela kwenye hazina ambazo hizo hizo zingenunuliwa vitanda na T scan. Mabilion ya walipa kodi yameteketea kwenye kampen yako kumdhibiti tu mtu mmoja. Bongo baaadoooooooooo yani badooo.

Ila uzuri wa bongo ukiwa kiongoz ni rahis sana kutawala nakuwawin watu kisaikolojia na kujizolea sifa za kijinga kwa mambo madogo madogooooooo ambayo hata joti, nyamayao, mpoki, mchizmox na kingwendu wakipewa urais wanaweza tu kufanya tena kwa weledi uliotukuka.

JK naye alijizolea sifa hivi hivi kwa mambo madogo madogo kumleta maximo ziara za ghafla hospitalin kuhudhuria misiba kwa fujo na kaSi ya ajab, kuwalinda maalbino kwa mdomo, kuwakingia kifua wanafunzi wakike wasipate mimba kwa mdomo na mzahaha

Si tupo hapa JF hamna madiliko yeyote yatakuwepo. Umaamuma wetu uliokubuhu utatuponza milele[/QUOTE


Acha tabia za kijinga na za kike ww!! alichokifanya kibaya rais hapo ni kipi? ulitaka akawatembelee matajir apolo hospital? unawaza kwa kutumia nn wewe?? vitu vingne bora mkaage kimya tu!!
tabia za kike na za kijinga ndio hizo za kuwaibia watanzania nyumba zao kununua vivuko kifisad kusafisha na kukomba hazina halaf kwenda hospatani kuwasanif na kuwazihak unawaonea huruma
 
Magufuli hili jambo la safari za ulaya mbona amelishikilia bango..???
hata kama amelivalia njuga hatafanya lolote wote ni maboriti hawezi kutoa kibanz kwa jicho la mwenzake.

SI TUPO HUMU HUMU JF TUOMBE UZIMA
 
That's a very easy move even a kindergarten girl if chosen to be president of this country blessed adamantly with low IQ citizens can perform such circus...
Jamani hebu tuondoleeni hivi viingereza vyenu vibovu bovu hapa. Hivi mnavyofanya hivi mnatakakumtisha nani sasa? Eti blessed adamantly, duh.
 
That's a very easy move even a kindergarten girl if chosen to be president of this country blessed adamantly with low IQ citizens can perform such circus...
Eti blessed adamantly, duh. Jamani hebu acheni huu mtindo wa kutaka kujifanya mnafahamu sana lugha ya Kiingereza. Hata kujieleza kwa Kiswahili tu inatosha. Hakuna haja ya kuanza kutishana tishana hapa.
 
Sitapiga kura tena. Uchaguzi bongo ni kama maigizo. Tawaleni! Tawaleni! Tawaleni!hadi mwisho. Bora mbaki madarakani na klindana milele na msihitishe uchaguz kwasababu mnateketeza hela ya walipa kodi
 
Eti blessed adamantly, duh. Jamani hebu acheni huu mtindo wa kutaka kujifanya mnafahamu sana lugha ya Kiingereza. Hata kujieleza kwa Kiswahili tu inatosha. Hakuna haja ya kuanza kutishana tishana hapa.

Haijalishi nilishasahisha longtime NI autocorect iyo gamba lililokubuhu
 
Jamani hebu tuondoleeni hivi viingereza vyenu vibovu bovu hapa. Hivi mnavyofanya hivi mnatakakumtisha nani sasa? Eti blessed adamantly, duh.
cheki hapo juu nilishasahisha long time. Yani mm kuandika kiingereza tu unatokwa povu. Bongo badoooo
 
Hebu jaribu kubong'oa kwanza, halafu tuongee baada ya hapo. Unajifanya unajua lugha chafu sio?
dogo usinitafute ubaya unajua naweza kuwa babako wa kambo. Hilo unalifaham:eek2:
 
Hivi naomba kuwaliza wadau wa humu JF, kuna watu uwa wana allergy na constructive criticism? Wote ni watu wazima na ni lazima tuelewe kwamba sometimes inabidi tu-agree kudis-agree kwani kila mtu ana uwezo wake wa kufikiri na namna yake anavyofikiria na ndio maana kuna wakati tunakuwa tunawaza na kuwazua tofauti... Just simply, "if you wana know what someone feels then step in his/her shoes"...

FYI..tungekuwa wote tunafikiri sawa basi CCM na UKAWA isingekuwepo.. if you cant say something nice sometimes its better to shut up cause the more you talk, the more you reveal how shallow ur thinking capacity is..

I was just passing by...
 
Back
Top Bottom