Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,596
- 5,584
Kiakiliccm kuongea na vyombo vya habari ama kusafiri inamaanisha kupona....Kwenda kuzungumza na vyombo vya habari ndiyo kupona?
Au unadhani wagojwa wote bongo zao ni gonjwa na midomo yao haiwezi kuongea?
Mimi siungi mkono alichokifanya kwa ubinadamu lakini nikija kwa ulichokisema hapa unadanganya maana ile ilikua ni ziara ambayo walioitayarisa walimshauri vibaya Lissu. Kama mambo yangeenda kama walivyotarajia ilitakiwa iwe ziara ya mafanikio lakini nijuavyo haikua ya mafanikio. Hivyo ulichokisema ni uongo Lissu hakualikwa ila alidanganywa na baadhi ya rafiki zake ama viongozi wake. Alitakiwa kutumia akili. Lissu atambue kuwa hapigwi vita na CCM tu bali hata huko upinzani ni tishio hivyo walimtengenezea mazingira ambayo yalishusha (polls) ambazo zilikua juu kabla ya ziara.
hili liwe fundisho kwa baadhi ya wapinzani kujitahidi kuwa out smart ccm na serikali yao ama sivyo hawatawaweza katu.
Pole sana mheshimiwa Lissu
Tulia wewe kijana, utamnyoosha nani wewe? Hii ni nchi sio genge la wahuni watukana matusi. Omba omba akitua Bongo ana kesi ya kujibu msaliti mkubwa
Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.
Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.
Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.
Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.
Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.
Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Swadakta!Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.
Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.
Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.
Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.
Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.
Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Lissu ni mshenz mb wa tu, hana maana hata KidogoDaaah hivi nawe ni binadamu?
Acha wapukutike tuMakamanda mnazidi kupukutika.
Kualikwa sawa, kutoa taarifa sehemu anayolia hapana?, acha ale jeuri yakeMbona wahanga wa ajali huwa wanaalikwa hadi studio za televisheni kuelezea yaliyowakuta huku wakiwa bado wanajitibu.
Lissu nae alialikwa kwenda kuelezea ajali iliyomkuta nje ya kumbi za Bunge tukufu.
Mbona Tanzania diaspora walimualika BBC VOA wote walimualika chuki zenu tu ila kumbuka ndio kwaanza movie inaanza kwenu ni very bad timming mmeifanya kimuhemko zaidi ili kufukia ile aibu ya Misri ila ngojeniKualikwa sawa, kutoa taarifa sehemu anayolia hapana?, acha ale jeuri yake
Fala sana LissuJamaa limbukeni sana. Alifikiri akimtuhumu rais kuwa hajui Kiingereza basi ndio wazungu watamuona wamaana sana. Ona sasa anyotaptapa na hicho kizungu chake cha kuombea maji.
Nawe ni msomi????Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.
Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.
Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.
Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.
Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.
Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Uko sawa sheria ni sheria wasilitazame kimoyo wa hurumaKwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.
Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.
Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.
Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.
Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.
Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Kama mazoezi angeanzia na kujaza forms hizoKuna tatizo mahala fulani... wagonjwa huwa tunaona wagonjwa wamefanyiwa upasuaji hata kwenye hospitali zetu wakifanya mazoezi.... (ya kimwili na kujiweka sawa kiakili) labda kwa sababu TL amekwenda kufanya mazoezi mbali kuliko wauwaji walivyotarajia.... labda kwa sababu TL ametibiwa hospitali bora kuliko zi apollo ambazo huaminiwa na malofa...
Ukweli huwa haujifichi: ROHO MBAYA, CHUKI, CHOYO, UHASIDI, FITNA NA KUJIPENDEKEZA ILI MATUMBO YAJAE HAVITATUFIKISHA KOKOTE.
KUCHE KUSIKUCHE TUNATENGENEZA TAIFA LA OVYO LITAKALOKUWA NA WATU WA OVYO
TAIFA AMBALO WANAOONEKANA WAOGA LEO WATAKUWA WAOVU KESHO.
TAIFA AMBALO WAZAZI WANACHEKA LEO KWA SABABU WANA RAHA NA FURAHA WANA WAO WATALIA NA KUSAGA MENO MAANA WANAOWALISHA LEO HAWATAISHI MILELE!
KUNA KILA DALILI VISASI VINGI TUTAVIONA HUKO MBELE YA SAFARI TUOMBE UZIMA TU!
Uko vizuri waombe wakuongezee posho...Kama mazoezi angeanzia na kujaza forms hizo
Nimeuliza swali nalirudia tena zile "immigration declarations form" zilijazwa na nani wakati mh. TL anaondoka Dodoma? Mkinipatia jibu hapo tunaweza kujadili....Kama mazoezi angeanzia na kujaza forms hizo
Kumbe ilikuwa ni nini mkuu?Alikutaarifu kuwa anafanya zuara unajua maana ya neno ziara au unasukumwa na ushoga mlionao hapo ccm pamoja na mapunga wenzio mliopo hapo ccm. Subirin tuwanyooshe na mtanyooka tu.
Vipi ziara za Lisu Marekani na Ujerumani?Soma post #5 amekujibu vizuri sana
Usiende mbali sana kutoka Belgium to USA mbona aliweza?Nimeuliza swali nalirudia tena zile "immigration declarations form" zilijazwa na nani wakati mh. TL anaondoka Dodoma? Mkinipatia jibu hapo tunaweza kujadili....
Anajua kiingereza? Labda tuanzie hapo, ni vyema kama huna hoja ukapiga kimya.
Hujajibu swali... kachukue posho tu.Usiende mbali sana kutoka Belgium to USA mbona aliweza?
Sent from my HUAWEI RIO-L01 using JamiiForums mobile app