Hata ukikataa sote tumesoma tunajua hulka ya wanachuo, na baadh ya wanachuo tunawafahamu,hapa hawa vjana wanachotaka ni pesa ya field..field kufanya si tatizo,tatizo ni pesa..wameishiwa boom tu hao.[/QUOTE
I think you have a big slow thinker, kama unampa mtu degree ya kitini unategemea nn kama sio kuongeza idadi ya wasomi hewa? waache wadai haki yao yamsingi, kwanini mtu apoteze miaka mitatu asifanye mazoezi ya vitendo? tutajuaje kama huyo mtu ameelewa? au unawatakia nn hawa watanzania wenzetu?????????