watakuwa wanagoma, si leo ndo wanaanza?!
gonja tusubiri updates hapa
nilio nao wasi wasi ni 2kta, wale wanaweza kulowanisha msimamo!
Ni kweli internet haiko poa hasa upande wa E-mail ndani ya website za vyuo.Hapa SUA kikao kinaendelea.Kuna nidhamu ya uoga inayoonyeshwa na maprof wetu hapa Tz, Kenya na Uganda hawani hio kunapokuja swala la maslahi yao wanaingia kwa mgomo.But ngoja tuone kama wanabeep au wataufanya kweli.
Hata wasomi hawa hawana msimamo katika kudai haki zao???????????
What about wakulima wenzangu ambao hutetema pale tu wamuonapo polisi????????????
Inafedhehesha kwelikweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mgomo bado upooooo ama walimtishia nyau mtu mzima??
Wamegoma bana.