Mgomo wa wafanyakazi Kilombero

Mgomo wa wafanyakazi Kilombero

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,100
Kutokana na mvutano wa muda mrefu kati ya Chama cha wakazi [ TPAWU na mwajiri ambaye ni Kampuni ya Sukari Kilombero, mwajiri huyo alianza na 2% huku chama kikihitaji 20%. Lakini mwajiri mpaka sasa amegomea nyongeza ya 6% na chama kikihitaji 10%.

Hivyo mgomo huo wa kisheria utakaodumu kwa siku7.
 
Na mm pmj na kuwa Mchungaji lakn lazma nigome kwa SBB mgomo huo unawahusu w/kazi wenye mishahara ya Grade ya A1 mpk C3.

Kwa iyo nicpogoma itakua ni dhambi
 
Oooh kumbeee daah. Ndo shida hyo ya wabongo! Wanavyopewa magari hayo bas wanajiona kweli
 
Nyie gomeni vijana tuko mtahani na vidigree vyetu tukihitwa kwenye interview tunaibuka fast
 
Udhaifu Wa kiuongozi,,,,,nililiona hilo mapema,,,sasa tunakuomba wewe Katibu Wa Tpawu Taifa ukatangaze tena kwny ITV kwamba hakuna mgomo Kampuni ya sukari Kilombero ili aibu ibaki kwako
 
Back
Top Bottom