Je mgomo wa serikali kususia kutoa huduma kwa wanachi wake walioiweka madarakani ni dhambi?
Angeanza kwa kusema serikali itubu kwanza labda angeweza kunishawishi. Nikitazama maelfu ya watanzania tunakufa kutokana na kukosa huduma nzuri ya afya ya kiwango tunachokiweza (eg. vaccuum to rescue the new born child after inhealing amniotic fluid). Pia nikisikia ufisadi unaotukuzwa, utoroshwaji wa pesa na nyara za serikali ndiyo nachanganyikiwa zaidi. Serikali ingedhibiti ufisadi na viongozi wanaotorosha pesa za watanzania, wangeweza kuboresha zaidi huduma ya afya na nyinginezo nyingi.
Lyimo... Naomba nikuelimishe, katika nadharia ya uzalendo maslahi ya umma yanatangulia yale ya binafsi. Iwapo madaktari ni wazalendo wangeanza na kuboreshwa huduma na mazingira ya kazi bila kuunganisha na maslahi binafsi. Kiyaweka yote kwa pamoja hata asiyefikiri sana atajua tu kuwa la kuboresha huduma ni tactic ya kubuy public support kwa ajili ya kufanikisha lao la maslahi.. The end justidies the means.. or viceversa