mgomo wa madereva ijumaa

mgomo wa madereva ijumaa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
Jamani leo nilikwenda kukata tiketi ubungo ya kwenda kigoma nilichokutana nacho kilinishangaza mabasi mengi yaendayo mikoani haswa ruti ndefu hayakati tiketi za safari siku ya ijumaa.

Nilipowauliza kulikoni nikahabarishwa kuwa matajiri wamewapigia sim wakata tiketi wao kuwa kwa kuhofia mgomo wa madereva unaotarajiwa kufanyika ijumaa wameona bora wasiwakatishe tiketi abira kwa kuhofia
madereva wao ambao wamedhamiria kuingi ktk mgomo hivyo watawasumbua abiria
 
Kwani wana tatzo gani mpaka kufikia mgomo?fafanua vizuri mkuu tuchangie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom