Mgomo wa Madaktari ni Uhaini

Ndg-jaribu kuwa na busara -uhaini ni kudai haki? mbona wanaokula na kuiibia serikali hujawaita wahaini? Acha tufe ili wenye mamlaka wajue sheria za kukandamiza taaluma kwa sababu ya unyeti bila kujali unyeti wake zimepitwa na wakati (walimu na madaktari) Mbona htuweki sheria ya kuzuia wanasiasa na wateule wao kuiibia serikali? badala yake wanahamishana kutoka hapa kwenda pale? Nani hatki watoto wake na yeye mwenyewe aishi maisha ya furaha na stara? Wanasiasa wasomeshe watoto wao Insternational schools amadaktari wasomeshe wa kwao Kayumba scholls? Ili iweje? Waendelee kututawala sisi na watoto wetu. Usikubali kudhulumu wala kudhulumiwa-ndo hivyo Mungu anatufundisha
 
Tanzania inaelekea wapy??mbona miaka inavyozidi kwenda mambo yanazidi kua mabaya!madaktari kugoma nihaki yao!ebu angalia walipotoka,wamesoma mchana na usiku kwa muda wa miaka mitano na zaidi,na wengi wao wamesoma kwa shida!mpaka sasaivii wanafunzi ambao wanasomea udaktari wana nyimwa mkopo!ivi kwa akili ya kibinadamu unaezaje taka kuhudumiwa na mtu amabaye ana mawazo??ebu fikiria mshahara wake mdogo,anahitaji kulipa vitu chungu mzima bado wengine wanasomesha!pesa ndo kama ivyo haitoshi!badala akae afikirie jinsi gani yakuwahudumia wa ngonjwa anafikiria madeni atayalipaje!ndo unakuta badala ya kupasua mguu anapasua kichwa!yani kiukweli lazima serikali iwatimizie mahitaji yao lasivyo Tanzania itahangamia!kumbukeni madaktari wanachangia kiasi kikubwa cha uhai wa binadamu!akitoka Mungu,uhai wako uko chini ya daktari!serikali yetu haiwezi kufanaya kitu mpaka isukumwe!jamani madaktari ni watu muhimu katka taifa wapeni haki zao!kwani ni halali yao!A NATION WITHOUT DOCTORS IS DEATH!!
 
Je hao wanaokufa kila siku kwa kukosa oxygen tu ambayo upatikanaji wake upo kwenye uwezo wa serikali ni halali yao kufa. Je ni viongozi tu ndiyo wanastahili kwenda kutibiwa India na kutumia pesa nyingi ambazo zingesaidia kuboresha huduma ya afya nchini na kuokoa maelfu ya watu. Je ni halali kutibiwa na kupewa karatasi ya matibabu bila dawa na kwenda kujifia wodini ama nyumbani. Je ni halali kumtendea unyama ule Dr.Ulimboka hata kama alikuwa na mashtaka ya kujibu/kuhukumiwa kisheria. nk. nk.
 
Nyinyi ndo mnaipa kibur serikali ya magamba na inajisahau kutimiza wajibu wake kwa wananchi.Nani anaua watu kama serikali.Umeshaenda mhimbili kwa ct scan? We jiulize kwa nn wao wakiuugua breki ya kwanza ni apollo? Unajua mishahara yao? Unajua mshahara wa dr? ITS RIDICULOUS KUTETEA SERIKALI YA MAGAMBA!
NI UPUUZI MKUBWA KUWATUMA MADR WAGOME ILI KUIONDOA SERIKALI MADARAKANI nasemma hawa watoto madoctor wako kisiasa jamani hata Mh MLATA hili kaliuliza Bungeni
Haya Liwalo na Liwe ndugu zetu wafe wao wanadai Upuuzi Mwl aanze na 210,000/ nyie mnaota 3.5m s/salary bado marupurupu
Kwanini MMMMMsi-sign off
 
Madaktari hawana kosa lolote,nani ni mhaini zaidi anayehamisha matrilion ya wtz na kusababisha kukosekana kwa madawa mahospitalini au alichoshwa kufanya kazi ya kusimamia watu wafe kwa ukosefu wa madawa? Katumwa huyo anaangalia nafsi yake tuu,kumbe ukikaa na mpumbavu nawe unakuwa mbumbavu na wala sio mujinga
 
NI UPUUZI MKUBWA KUWATUMA MADR WAGOME ILI KUIONDOA SERIKALI MADARAKANI nasemma hawa watoto madoctor wako kisiasa jamani hata Mh MLATA hili kaliuliza Bungeni
Haya Liwalo na Liwe ndugu zetu wafe wao wanadai Upuuzi Mwl aanze na 210,000/ nyie mnaota 3.5m s/salary bado marupurupu
Kwanini MMMMMsi-sign off

Hao madokta wameajiriwa wanaweza kudai mshahara au chochote kile kutoka kwa muajiri wao ,na wakikataliwa ni haki yao kuacha au kugoma sasa hapo hospitali akienda mgonjwa awe ndugu yake ,mke baba mama au yeyote yule ni yeye na hiari yake hawezi kulazimishwa.
 
Back
Top Bottom