Ulimboka alikuwa Rais wa Medical stadent association na wakati huo huo Khamis Kigwangala alikuwa Rais Muhimbili Med stadent association. Na waliratibu mgomo mkubwa sana 2003.
CCM hapo ndipo huniacha hoi badala ya kushughulikia issue wanamshughulikia mtu,halafu ni wepesi kushughulikia vidagaa,wale mapapa wanajifanya hamunazo,wakati mwingine inabidi dhamira yangu inisute nianze kumuona EL pamoja na mawaa yake kama ndie anaweza kuwashikisha adabu wanafiki ndani ya CCM na serikali yake kwa ujumla pamoja.Hawa akina Malima wana tija gani kwa wananchi?angalia hata jimbo lake ambalo lipo kama km 40 kutoka Dar lipo taabani kihuduma.Kwenye mambo ya msingi huleta siasa,wanakuwa kama Ze Komedy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.