Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,598
Wanabodi,
Hili ni opinion question yangu kuwa jee, serikali inajipanga kuwafukuza kazi madaktari wote waliogoma kwa 'summary dismissal" kwa kutumia kipengele cha "insubordination"?. Lengo likiwa ni kuzuia mgomo huu usisambae nchi nzima hivyo ku paralyse sekta nzima ya Tanzania?.
Opinion hii inafuatia majibu ya kimitego mitego yanayotolewa na viongozi wakuu wa seriali na sekta ya afya nchini!
1. Juzi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, alisema yuko tayari kukutana na madaktari hao wakati wowote ila concern yake kubwa kwanza ni maisha ya watu yanayopotea!, hivyo akawataka kwanza warejee kazini ndipo mazungumzo yafuatie.
2. Jana Waziri wa Afya Dr. Haji Mponda, alipanga kukutana nao, lakini badala ya kuwafuata pale wanapokutania, serikali ikatafuta ukumbi mwingine wenye usalama zaidi ili kumwezesha Waziri Mkuu Pinda, kwenda kuwaangukia!, Madaktari hao wagomaji wakataa kwenda pengine popote zaidi ya hapo walipo!.
3. Asubuhi hii Naibu Waziri wa Afya, Dr. Lucy Nkya, ametangaza serikali haiwezi kuwafuata madaktari hapo walipo kwa kwa sababu hawana uhakika na usalama wa eneo hilo la kukutania, na kuwataka wakubali kukutania katika eneo watakalotayarishiwa na serikali ambalo ni salama ili serikali kupitia kwa Mtoto wa Mkulima, Mhe. Mizengo Pinda, iwaangukie!.
4. Leo serikali itatoa taarifa rasmi ya Altimatum kuwa kufikia Jumatatu Saa 2:00 asubuhi, dakitari yoyote ambaye hataripo sehemu yake ya kazi, ajihesabu amejifukuzisha kazi!. Altimutum hii na tishio la kuwafukuza kazi ni mpango wa Iron Lady Mama Blandina Nyoni, "never on earth to bow down on anyone!"!. Serikali itamia vifungu vya sheria ya kazi kuonyesha mgomo huo sio halali hivyo kuhalalisha matumizi ya summary dismissal kwa insubordination!
5. Wakati ninaandika opinion hii, serikali tayari imeshawaandikia barua madfaktari wote wastaafu ambao ni able, kurejea kazini kwa dharura!, madaktari wote wa jeshi wamemepawa amri ya stand by, kuwa tayari kufanya kazi masaa 18!.
6. Mpango huo wa kuwafukuza kazi kwa "summary dismissal",kwa kutumia kifungu cha "insubordination" utawanyima haki zao zote, ukiondoa michango yao tuu waliyokatwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii!.
7. Taarifa za mpango huo wa serikali zimetumwa mjini Davos nchini Uswisi kupata baraka za mkuu nchi, na kuna uwezekano kabla ya utekelezaji wa uamuzi huu, rais Jakaya Kikwete, ataikatiza ziara yake ya nchini Uswisi na kurejea nyumbani over the weekend ambapo kabla ya kumalizika altimatum hiyo, Rais Kikwete atalihutubia taifa kwa mtindo ule wa kuuzuia ule mgomo wa wafanyakazi!.
8. Kitendo cha mtumishi wa serikali, kukataa kutekeleza amri halali ya mkuu wake wa kazi, hiyo ni insubordination na adhabu yake ni summary dismissal!. Hivyo pamoja na genuinity yote ya madai ya madaktari, jee mgomo wao ni halali?, unafuata sheria za migomo kwa mujibu wa sheria zetu za kazi na maadili ya kidakitari?!.
Wasalaam
Pasco (wa jf)
Update:
Nimeona news clip ya ITV. Waziri wa Afya Dr. Haji Mponda amewafuata madaktari walipo akiwa ameandamana na Waziri wa Utumishi, Hawa Ghasia na Naibu Waziri wa Afya Dr. Lucy Nkya.
Waziri wa Afya amepokea malalamiko yao ambayo wameyaelekeza kwa Waziri Mkuu. Pia amewasilisha ombi la serikali kuwa kesho warudi kazini wakati serikali ikishughulikia madai yao.
Madaktari wamegoma na kusema wanasubiri majibu ya barua yao kwa Pinda.
Kesho, Mtoto wa Mkulima atakwenda kuonana nao na kuwaomba waripoti kazini Jumatatu asubuhi. Kama na kesho watagoma, kesho kutwa JK atarudi na J3 atalihutubia taifa hotuba kama ile ya mbayuwayu!.
Sisi wote tunaowaunga mkono madaktari, tuanze pia kuwakumbusha kupunguza misimamo mikali, Tuwaombe madaktari wetu, kesho Pinda akija na kuwaangukia, wamkubalie na kurudi kazini vinginevyo itakuwa ni kukomoana kama vita vya ndovu, ziuniazo ni nyika!
Hizi kauli za shinikizo la kuendelea kugoma, ni kweli umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, lakini katika umoja huo tangulizeni maslahi ya taifa mbele, mkiendelea kutunisha misuli ni kweli mtakuwa fired, na ni kweli kuna baadhi yenu watagain kwa kwenda kupata kazi nje ya nchi, lakini kuna wengine wata loose na to be rendered jobless overnight!.
Kesho asubuhi ripotini kazini hata kama sio lazima mtibu, then endelezeni go slow mpaka kilio chenu kijibiwe!
Hili ni opinion question yangu kuwa jee, serikali inajipanga kuwafukuza kazi madaktari wote waliogoma kwa 'summary dismissal" kwa kutumia kipengele cha "insubordination"?. Lengo likiwa ni kuzuia mgomo huu usisambae nchi nzima hivyo ku paralyse sekta nzima ya Tanzania?.
Opinion hii inafuatia majibu ya kimitego mitego yanayotolewa na viongozi wakuu wa seriali na sekta ya afya nchini!
1. Juzi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, alisema yuko tayari kukutana na madaktari hao wakati wowote ila concern yake kubwa kwanza ni maisha ya watu yanayopotea!, hivyo akawataka kwanza warejee kazini ndipo mazungumzo yafuatie.
2. Jana Waziri wa Afya Dr. Haji Mponda, alipanga kukutana nao, lakini badala ya kuwafuata pale wanapokutania, serikali ikatafuta ukumbi mwingine wenye usalama zaidi ili kumwezesha Waziri Mkuu Pinda, kwenda kuwaangukia!, Madaktari hao wagomaji wakataa kwenda pengine popote zaidi ya hapo walipo!.
3. Asubuhi hii Naibu Waziri wa Afya, Dr. Lucy Nkya, ametangaza serikali haiwezi kuwafuata madaktari hapo walipo kwa kwa sababu hawana uhakika na usalama wa eneo hilo la kukutania, na kuwataka wakubali kukutania katika eneo watakalotayarishiwa na serikali ambalo ni salama ili serikali kupitia kwa Mtoto wa Mkulima, Mhe. Mizengo Pinda, iwaangukie!.
4. Leo serikali itatoa taarifa rasmi ya Altimatum kuwa kufikia Jumatatu Saa 2:00 asubuhi, dakitari yoyote ambaye hataripo sehemu yake ya kazi, ajihesabu amejifukuzisha kazi!. Altimutum hii na tishio la kuwafukuza kazi ni mpango wa Iron Lady Mama Blandina Nyoni, "never on earth to bow down on anyone!"!. Serikali itamia vifungu vya sheria ya kazi kuonyesha mgomo huo sio halali hivyo kuhalalisha matumizi ya summary dismissal kwa insubordination!
5. Wakati ninaandika opinion hii, serikali tayari imeshawaandikia barua madfaktari wote wastaafu ambao ni able, kurejea kazini kwa dharura!, madaktari wote wa jeshi wamemepawa amri ya stand by, kuwa tayari kufanya kazi masaa 18!.
6. Mpango huo wa kuwafukuza kazi kwa "summary dismissal",kwa kutumia kifungu cha "insubordination" utawanyima haki zao zote, ukiondoa michango yao tuu waliyokatwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii!.
7. Taarifa za mpango huo wa serikali zimetumwa mjini Davos nchini Uswisi kupata baraka za mkuu nchi, na kuna uwezekano kabla ya utekelezaji wa uamuzi huu, rais Jakaya Kikwete, ataikatiza ziara yake ya nchini Uswisi na kurejea nyumbani over the weekend ambapo kabla ya kumalizika altimatum hiyo, Rais Kikwete atalihutubia taifa kwa mtindo ule wa kuuzuia ule mgomo wa wafanyakazi!.
8. Kitendo cha mtumishi wa serikali, kukataa kutekeleza amri halali ya mkuu wake wa kazi, hiyo ni insubordination na adhabu yake ni summary dismissal!. Hivyo pamoja na genuinity yote ya madai ya madaktari, jee mgomo wao ni halali?, unafuata sheria za migomo kwa mujibu wa sheria zetu za kazi na maadili ya kidakitari?!.
Wasalaam
Pasco (wa jf)
Update:
Nimeona news clip ya ITV. Waziri wa Afya Dr. Haji Mponda amewafuata madaktari walipo akiwa ameandamana na Waziri wa Utumishi, Hawa Ghasia na Naibu Waziri wa Afya Dr. Lucy Nkya.
Waziri wa Afya amepokea malalamiko yao ambayo wameyaelekeza kwa Waziri Mkuu. Pia amewasilisha ombi la serikali kuwa kesho warudi kazini wakati serikali ikishughulikia madai yao.
Madaktari wamegoma na kusema wanasubiri majibu ya barua yao kwa Pinda.
Kesho, Mtoto wa Mkulima atakwenda kuonana nao na kuwaomba waripoti kazini Jumatatu asubuhi. Kama na kesho watagoma, kesho kutwa JK atarudi na J3 atalihutubia taifa hotuba kama ile ya mbayuwayu!.
Sisi wote tunaowaunga mkono madaktari, tuanze pia kuwakumbusha kupunguza misimamo mikali, Tuwaombe madaktari wetu, kesho Pinda akija na kuwaangukia, wamkubalie na kurudi kazini vinginevyo itakuwa ni kukomoana kama vita vya ndovu, ziuniazo ni nyika!
Hizi kauli za shinikizo la kuendelea kugoma, ni kweli umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, lakini katika umoja huo tangulizeni maslahi ya taifa mbele, mkiendelea kutunisha misuli ni kweli mtakuwa fired, na ni kweli kuna baadhi yenu watagain kwa kwenda kupata kazi nje ya nchi, lakini kuna wengine wata loose na to be rendered jobless overnight!.
Kesho asubuhi ripotini kazini hata kama sio lazima mtibu, then endelezeni go slow mpaka kilio chenu kijibiwe!