Madereva Dalala jijini Mbeya wameanza mgomo wao ambao wamedai utadumu kwa muda wa wiki moja kutokana na kuzitaka Bajaji kuacha kutumia ruti ambazo zinatumika na dalala.hali hii imekuwa kero kwa wananchi wa jiji hilo
Kama ni kero kwa wananchi, mbona hawajagoma ama kuandamana Wananchi wenyewe? Jamaa hawataki ushindani kabisa, na usikute wanapambania Monopoly ili wageuke miungu watu kunyanyasa abiria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.