Mgomo wa Daladala Mbeya

Mgomo wa Daladala Mbeya

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
879
Reaction score
814
Madereva Dalala jijini Mbeya wameanza mgomo wao ambao wamedai utadumu kwa muda wa wiki moja kutokana na kuzitaka Bajaji kuacha kutumia ruti ambazo zinatumika na dalala.hali hii imekuwa kero kwa wananchi wa jiji hilo

DSC_1968.JPG
 
Kama ni kero kwa wananchi, mbona hawajagoma ama kuandamana Wananchi wenyewe? Jamaa hawataki ushindani kabisa, na usikute wanapambania Monopoly ili wageuke miungu watu kunyanyasa abiria.
 
Back
Top Bottom