THOMAS NCHIKILA
Member
- Jan 18, 2014
- 11
- 0
Madereva wa daladala wagoma kuingia barabarani na kusababisha wananchi kuchelewa makazini kwao vivyo hivyo na kwa wanafunzi pia chanzo bado sijakipata ila kwa tetesi ni kwamba hawaitaki stand ya daladala ya nyakato-buzuruga kwa madai imefinya sana kwa hiyo wanashndwa kupishana hadi aanze kitoka wambele.
Hii imetokea leo tarehe 17/02/2014,Hapa JIJINI MWANZA.
NINI MAONI YAKO KUHUSU MGOMO HUU,KWA WAMILIKI WA DALADALA NA SERIKALI?
Hii imetokea leo tarehe 17/02/2014,Hapa JIJINI MWANZA.
NINI MAONI YAKO KUHUSU MGOMO HUU,KWA WAMILIKI WA DALADALA NA SERIKALI?