Hujui usemalo
Polisi wametapakaa chuo kikuu cha Ruaha, wanawapiga mabomu ya machozi wanachuo ambao wamejaaa viunga vya chuo wanadai fedha za kujikimu(boom) hii serikali kandamizi cjui 2taitoa lini!
mkopo siyo lazima unaweza kuomba ukakosa au ukapewa.
hao wanafunzi hawana madai ya msingi wanasukumwa na wanasiasa
njaa kila mtu anayo mbona hata kijijini wana njaa wanavumilia------------
Msemaji mkuu
Makao makuu
Sio lumumba
hao wanafunzi hawana madai ya msingi wanasukumwa na wanasiasa
njaa kila mtu anayo mbona hata kijijini wana njaa wanavumilia------------
Msemaji mkuu
Makao makuu
Sio lumumba