LWAKAPISI
Member
- Mar 31, 2011
- 46
- 4
kuanzia asubuhi hii chuo cha sayansi ya mawasiliano(INFORMATICS)katika chuo kikuu cha Dodoma wameanza mgomo endelevu,wakigomea kitendo cha kutolipwa fedha za vitivo(special faculty requirements allowance).ninapoandika thread hii ndo nimepata taarifa kuwa safari yao imeanza kuelekea kwa waziri mkuu.