Mgomo mwingine wa madaktari hautakubalika!

Ungetoa hoja tu kwanza kabla ya kutukana ili nikwambie point yangu kwamba:
"KUWATELEKEZA WAGONJWA WETU WAFE [KUMBUKA BAADHI YAO NI MADAKTARI] ILI KUWAPIGANIA MADAKTARI WETU NDIYO UVIVU WA KUFIKIRI. JIBU LA UTAWALA DHALIMU KAMA WA MKULU JK NA MAFISA WAKE NI TAHRIR SQUARE, FULL STOP! Sikutofautishi na hao was..nge wenzako mnaotuchelewesha kuwavurumusha nchi ipate uhuru! Idiot! Ebu tuondoleeni misimamo ya kibaguzi hapa! WATANZANIA STOP BEING COWARDS!


THE ONLY REASON FOR EVIL TO TRIUMPH IS WHEN GOOD PEOPLE SAY NOTHING!

I see! I hope you are ok, mentally that is! Seems to me something is finally getting back to you, now you are trying to de-rail the momentum but you have no clue even how to start!

Msimamo wa kibaguzi my foot! Come clean dude!
 
Ndio maana kuna gazeti moja limeandika, mgomo wa madaktari una mkono wa kisiasa.
 
serikali na mitanzania ambayo nimivivu kufikiri na kujipenda mienyewe ndio inaona wengine wakidai haki zao ni wajinga acheni kwenda hospitali muache kazi na mkiombwa kurudi msirudi kazi ili wakatafute madaktari wakuwatibia wagonjwa mahospitalini..

RIP Mariam Ally Spika..
 
Ndio maana kuna gazeti moja limeandika, mgomo wa madaktari una mkono wa kisiasa.

Ndio wale wale, ni mtu mjinga tu ambae bado hadi leo anaamini Watanzania watasikiliza porojo. Kuwe na mkono, mguu au kidole cha siasa haimanishi kuwa madai ya madaktari hayapo!
 
Asante sana Negembo. Me naona madaktari wanakua vichaa sasa. Kwani Mponda na Nkya ndio wamekula posho zao? Halafu kinachonishangaza wanampa AMRI Rais eti mpk jumatano awe kashawafukuza kazi. PM kashawaambia kuwa madai yao yako kwny mchakato kulingana na taratibu za serikali ila hawasikii. Me naona km hawataki kazi WAACHE wakalime mahindi, wawaache wenye uzalendo wafanye kazi. Hakuna aliyeshikiwa mtutu wa bunduki.

Hao wenye uzalendo unaowasema watafanya kazi bila kua na taaluma?au madaktari nao leo wamekua sio wazalendo kwa ajili ya kukataa kushurutishwa na kupigania uboroshwaji wa huduma za afya?think twice
 
I see! I hope you are ok, mentally that is! Seems to me something is finally getting back to you, now you are trying to de-rail the momentum but you have no clue even how to start!

Msimamo wa kibaguzi my foot! Come clean dude!


See boy! We should be broad when we think, lest we treat the effect and not the cause. Looking at doctors' probs in isolation narrows down affairs and we end up fighting a losing battle. A STAND ALONE BATTLE NEVER CAN DEFEAT A REGIME. NEVER! History has it! Doctors' probs constitute only a single stone which we perhaps need a Gorriath to battle for us. Many stones could do better job; know what I mean? But we got enough of those in our basket! I say; bull shit! TAHRIR SQUARE! Came clean dic?

SACRIFICE NOT THE DEFESELESS AND AILING INNOCENTS IN HOSPITALS! WE GOT THE POWER IN NUMBERS!
 
I see! I hope you are ok, mentally that is! Seems to me something is finally getting back to you, now you are trying to de-rail the momentum but you have no clue even how to start!

Msimamo wa kibaguzi my foot! Come clean dude!


See boy! We should be broad when we think, lest we treat the effect and not the cause. Looking at doctors’ probs in isolation narrows down affairs and we end up fighting a losing battle. A STAND ALONE BATTLE NEVER CAN DEFEAT A REGIME. NEVER! History has it! Doctors’ probs constitute only a single stone which we perhaps need a Gorriath to battle for us. Many stones could do better job; know what I mean? But we got enough of those in our basket! I say; bull shit! TAHRIR SQUARE! Came clean dic?

SACRIFICE NOT THE DEFESELESS AND AILING INNOCENTS IN HOSPITALS! WE GOT THE POWER IN NUMBERS!
 
Hatua yoyote ile ya kugoma kutoa huduma kwa WATANZANIA wasio na hatia haitakubalika. Kwa sasa watanzania tutalaani na kupinga action yoyote kwa madaktari wanayokusudia kuchukua. Hatua hiyo ni kama uhaini kwa kukusudia kuua raia wema wanaokamuliwa kodi kwa kusomesha na kuwalipa mishahara wataalamu. Tunaamini bado kuna nafasi ya kukaa na kupata muhafaka kupitia meza ya majadiriano bila kuilazimisha, kuisulutisha na kuiwekea mashariti ya kuidhalilisha serikali eti kwa kwa kigezo ni kada muhimu. Serikali ina utaratibu wake ambao inapaswa uheshimiwe na watu wote kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Pia tunatoa mwito kwa serikali kuheshimu taaluma za wataalamu wetu kwa kuwapatia vitendea kazi na maslahi yanayokidhi taaluma husika. Suala la kada ya afya lishughulikiwe kwa ujumla wake kwa kuzingatia wataalamu wote waliopo katika kada hiyo bila kuwabagua maana wanategemeana bila kusema Daktari ni bora zaidi, kinyume na hapo ni kuzalisha Crisis nyingine ndani ya kada ya Afya kwa kusababisha chuki kati yao na mgomo baridi utakaoleteleza kuzorotesha huduma ya Afya. Hatua kwa hatua na kwa kasi, Serikali iboreshe maslahi kwa watumishi wake, maana tukisema Sekta ya Afya ni muhimu zaidi, je Walimu wanaopigana kuondoa ujinga na kuzalisha hao wataalamu wa Afya wao si ni bora zaidi? SERIKALI ISIJIINGIZE KATIKA MTEGO WA KUONA KADA NYINGINE NI BORA ZAIDI KWA MAANA KADA ZOTE ZINATEGEMEANA! Mfanyakazi wa TRA si bora zaidi, kuliko mtaalamu wa Afya za Mazingira, Mkemia au mhandisi, Mwanajeshi si bora zaidi Kuliko Daktari, na wala Daktari si bora zaidi kuliko Mwalimu, na Wala WABUNGE si bora kuliko watu wengine. Na kinyume chake ni hivyo hivyo. Tofauti inayoweza kujitokeza, madharani ni kwa kuhamasisha wanafunzi wengi wapende masomo ya Sayansi, hivyo ili linaweza kufanyika kwa wataalamu wa sayansi kupewa motisha na hata ikibidi nje ya mishahara yao. lakini suala la mishahara lazima liwe na kanuni ya uwiano.
Changamoto ninayoitoa kwa serikali kwa siku za mbeleni na kwa hatua za haraka zaidi, pelekeni kwa wingi wataalamu wa kada ambazo zina impacts za moja kwa moja kwenye maisha ya binadamu katika vyombo vya usalama kama vile jeshini, usalama wa Taifa, police na vinginevyo kwa ajili ya emergency wakati wa dharula. Lakini pia maslahi ya wataalamu wetu lazima yaboreshwe.

Nasilisha kwa maslahi ya Taifa
HUU NDIO UKWELI
UKWELI UNAYO TABIA MOJA MAARUFU...WASWAHILI HUSEMA UKWELI UNAUMA
Pamoja na kwamba wachangiaji wengi humu umewakera lakini wakumbuke kanuni
kuu ya demokrasia ambayo ni kuvumilia mawazo ya wengine hata kama huyapendi
MADAKTARI WAKUMBUKE WANAOWAUA SIO VIONGOZI WA SERIKALI BALI NI WALAHOI WENZETU
Naishauri serikali itumie mbinu ile waliyoitumia kuzima mgomo wa Waalimu ambayo pia Serikali ya Kenya
imeitumia kwa wahudumu wa Afya, waende mahakani ili wapate Amri ya kuharamisha mgomo, kisha DR. Mkopi
alazimishwe kuwatangazia wenzake
 
Ieleweke kuwa si wote tunaosomeshwa na Serikali, kuna vyuo vingi ambavyo ni binafsi. NAOMBA TUONDOE HII KAULI HAINA MANTIKI KABISA NA KUONYESHA KUWA HUJUI KITU UNACHOONGEA.

Chukua mfano chuo cha IMTU pale Mbezi DSM; je, wanafunzi wanalipiwa na Serikali???? Na vyuo vingi tu ambavyo vinatoa taaluma kwa gharama za mtu binafsi.

Pia fuatilia uone ni wanafunzi wangapi katika vyuo vikuu hata mikopo hawapewi, nini kusomeshwa bure!!!!!!! HIVYO UKIONGEA KUHUSU KUSOMESHWA NA SERIKALI INAONYESHA JINSI GANI ULIVYO MBUMBUMBU KATIKA SUALA UNALOONGEA.

ACHENI NISEME HATA MKINI........ ACHENI NISEME KUWA SERIKALI TIMIZA AHADI YAKO KUHUSU MGOMO WA MADAKITARI.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Sijui kati ya mimi na wewe nani ni mbumbumbu. Hizo IMTU na Kairuki hospitals zinachukuwa wanafunzi wanaopewa mikopo ya serikali. Na wala usinidanganye maana ninae mtoto wa shemegi yangu amepata mkopo pale Kairuki.

Eti fuatilia ni wanafunzi wangapi wanaosoma kibinafsi - si ungeniambia basi kama unaniona mimi ni mbumbumbu?
 
mwendo ule ule mpaka kieleweke,miaka hamsini ya ujinga ishapita,kila m2 adai chake sasa,mpaka kitaeleweka tu,nchi inakuwa ya watu watatu bana!
 
kwanza,niliamini pengine unaongea hivyo kwa kuwa hukua unajua ukweli,lakini sasa nimejua pamoja na kutokujua au kwa makusudi umeamua kupotosha ukweli!una kila dalili za mtu mbinafsi mwenye wivu na kufikilia kwa mafupi na kuzungumza vitu kwa kulukia bila kujua undani wake.hivi kweli unaweza thubutu kusema dactari anakunyonya!!??

Hivi unajua ni kwa nini ilipendekezwa kuwa ma injinia,madactar na walimu wapewe grant na serkl??kwa kuwa sina uhakika kama unajua,nitakujuza! kwanza si kweli kuwa serkal imefanikiwa kufanya hivyo maana bado wako madact,ma injinia na walimu ambao hawajasomeshwa na hizo kodi zako!! pili hizo unazodai ni bure na misamaha,vinaitwa ni motisha ili angalau tuongeze idadi ya watu wa kada hizo hapa nnchini ili angalau kuongeza watu wanao chagua masomo ya sayance. sina uhakika nawewe unatoka kada gani [taaluma] ila nadhani mtu yeyote anaweza kukisia kutokana na unavyochangia. no offence, kama hukukimbia umande, na kama ulibahatika kusoma na watu ambao wali kuja kuwa ma injinia,madactari,au wana sayansi kwa ujumla,walikuwa ni wanafunzi wa upeo gani kwa kumbukumbu zako?
Tatu ktk nchi zote unazojua wewe zimeendelea ni matokeo ya sayance kupewa kipaumbele! embu imagini umepata kitu kinaitwa ints obst,ambayo nadhani ni dharula, unakimbizwa m/nyam,generator haina mafuta umeme unakatika wakati wewe umelala usingizi, hao unaowananga wanahangaika kwa simu tochi kuokoa maisha yako, unapona, unakwenda wodini dripu na vifaa tiba hakuna, ndugu zako waambiwa kuleta vifaa wanadai ma dr wameuza hvyo vifaa kwenye maduka yao!!? unaemwambia hivyo alijichoma wakati anakufanyia opertn na alipokucheki damu yako tayari wewe ni mwathirika, serikali yako, inatangaza kila kitu sasa ni bure kila kitu ni swari. mmmh, hata kama wewe ni failure embu usuhurishe kidogo ubongo wako mkuu! hivi unajua hao watu wasance wanauwezo wa kuhamia kada ingine yoyote kama yako na wakafanya mazuri kuliko ufanyavyo? fikili..nasubi majibu yako ili nikuelimishe bila tuition fee.

Loh la haulaa, siju nani amfunze mwenzake mimi au wewe? Nadhani itabidi kwanza urudi shule ya primari ukajifunze lugha vizuri, kiswahili hakiandikwi hivyo ulivyoandika wewe. Hata kuweka nafasi baina ya maneno pia unashindwa. Tuition yako naisamehe hata kama ingekuwa nalipwa mimi mfundishwaji.

Ni wapi mimi nimeandika kwamba madaktari wanatunyonya? Wewe sasa ndiye 'mlukiaji' wa mada, hata hujasoma vizuri umeanza kuandika kwa kuwa tu unajua kudonoa kwenye keyboard.

Sijui kuna uhusiano kati ya mambo mengi uliyochanganya (majenereta, sayansi, emergency ......) na hii mada ya udaktari? Uite motisha au nini bado ni msamaha kwa lugha nyengine. Kama issue ni kuwa wanakuhudumia kila mtu ni kwa kazi yake na umuhimu wake hapa duniani.

Hapana anayedharau kazi ya mwenzake na wala hapana aliyesema kwamba hawana umuhimu. Kwani daktari akishakuokoa hayo maisha na wewe ukawa huna chakula kwa njaa (mkulima na yeye amegoma) ndiyo utaweza kuishi?
 
Kwa hiyo kwa kuwa wamesomeshwa kwa kodi zetu ndio wasipewe haki zao? Mbona mawaziri na kiranja wao ambao ni useless (na walitumia kodi zetu kusoma na wengi wao wakashindwa hata shule zenyewe) wanajilipa mishahara na posho kubwa wakati hawana lolote la maana wanalochangia?

Wewe na hao waliokutuma siku zenu zinahesabika m.a.***** nyie!

Baada ya kutoa hoja unaishia matusi - ujinga uko wa aina nyingi hapa duniani.
 
Definitely naunga mkono mgomo wa madaktari na nina ushauri kwa watz wenzangu. Kwa nini madaktari wanatupigania sisi tumechapa usingizi? Si afadhali kada zote za jamii TUKURUPUKE ili wigo wa maslahi upanuke kwa kada zote? Maisha ni magumu kwa madaktari tuu? Mazingira ya kazi ni magumu kwa madaktari tuu?
  • Madaktari gomeni kama kawaida, acheni wagonjwa wa JK wajijue,
  • Askari magereza acheni kuzubaa, maisha yenu ni duni MNO. TELEKEZENI wafungwa na mahabusu hadi kieleweke. Kwani nyinyi hampendi maisha bora?
  • Waalimu mashuleni na vyuoni tieni makufuli hayo madarasa, acheni ushamba hapa!
  • Njia rahisi ya marubani kudai maslahi zaidi ni kurusha hizo ndege angani afu mzitelekeze huko huko, watajiju,
  • Kama vipi mashekhe na wachungaji tieni makufuli hizo nyumba za ibada. Kwani serikali imewatimizia yote mnayoidai?......................

WE ARE RIGHTLY DANCING ACCORDING TO THE BEATS! A MINDLESS LEADER MADE US IRRATIONAL TOO!

viongozi wa makanisa na mashehe wakifunga makanisa hapo watakuwa wamemkomoa lowasa pekee ktk harakati zake za kampeni makanisani na misikitini
 
Mbona sioni mkilalamika mawaziri kwenda kutibiwa India, kama mazingira ya huduma ni mazuri si wangetibiwa hapa hapa.
Inaenda bila kusema serikari imepuuza mambo ya msingi kuhusu huduma za afya.
Pinda yeye kila siku anakuja na mtindo ule ule kuomba huruma ya wasikilizaji na kutunisha misuli.
Kipindi hata anawakingia kifua watuhumiwa. Tuone, safari ile alishindwa vibaya. Tuone kama pindi hii ataweza.
 
Hatua yoyote ile ya kugoma kutoa huduma kwa WATANZANIA wasio na hatia haitakubalika. Kwa sasa watanzania tutalaani na kupinga action yoyote kwa madaktari wanayokusudia kuchukua. Hatua hiyo ni kama uhaini kwa kukusudia kuua raia wema wanaokamuliwa kodi kwa kusomesha na kuwalipa mishahara wataalamu. Tunaamini bado kuna nafasi ya kukaa na kupata muhafaka kupitia meza ya majadiriano bila kuilazimisha, kuisulutisha na kuiwekea mashariti ya kuidhalilisha serikali eti kwa kwa kigezo ni kada muhimu. Serikali ina utaratibu wake ambao inapaswa uheshimiwe na watu wote kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Pia tunatoa mwito kwa serikali kuheshimu taaluma za wataalamu wetu kwa kuwapatia vitendea kazi na maslahi yanayokidhi taaluma husika. Suala la kada ya afya lishughulikiwe kwa ujumla wake kwa kuzingatia wataalamu wote waliopo katika kada hiyo bila kuwabagua maana wanategemeana bila kusema Daktari ni bora zaidi, kinyume na hapo ni kuzalisha Crisis nyingine ndani ya kada ya Afya kwa kusababisha chuki kati yao na mgomo baridi utakaoleteleza kuzorotesha huduma ya Afya. Hatua kwa hatua na kwa kasi, Serikali iboreshe maslahi kwa watumishi wake, maana tukisema Sekta ya Afya ni muhimu zaidi, je Walimu wanaopigana kuondoa ujinga na kuzalisha hao wataalamu wa Afya wao si ni bora zaidi? SERIKALI ISIJIINGIZE KATIKA MTEGO WA KUONA KADA NYINGINE NI BORA ZAIDI KWA MAANA KADA ZOTE ZINATEGEMEANA! Mfanyakazi wa TRA si bora zaidi, kuliko mtaalamu wa Afya za Mazingira, Mkemia au mhandisi, Mwanajeshi si bora zaidi Kuliko Daktari, na wala Daktari si bora zaidi kuliko Mwalimu, na Wala WABUNGE si bora kuliko watu wengine. Na kinyume chake ni hivyo hivyo. Tofauti inayoweza kujitokeza, madharani ni kwa kuhamasisha wanafunzi wengi wapende masomo ya Sayansi, hivyo ili linaweza kufanyika kwa wataalamu wa sayansi kupewa motisha na hata ikibidi nje ya mishahara yao. lakini suala la mishahara lazima liwe na kanuni ya uwiano.
Changamoto ninayoitoa kwa serikali kwa siku za mbeleni na kwa hatua za haraka zaidi, pelekeni kwa wingi wataalamu wa kada ambazo zina impacts za moja kwa moja kwenye maisha ya binadamu katika vyombo vya usalama kama vile jeshini, usalama wa Taifa, police na vinginevyo kwa ajili ya emergency wakati wa dharula. Lakini pia maslahi ya wataalamu wetu lazima yaboreshwe.

Nasilisha kwa maslahi ya Taifa
Wewe ni Kilaza dunia nzima!
 
Kabinti unamtindio wa akiri ww hii ni thread ya pili nakuona unaandika kutumia masaburi,we uliruka stage ya kunyonya wakati uko mdogo
 
Loh la haulaa, siju nani amfunze mwenzake mimi au wewe? Nadhani itabidi kwanza urudi shule ya primari ukajifunze lugha vizuri, kiswahili hakiandikwi hivyo ulivyoandika wewe. Hata kuweka nafasi baina ya maneno pia unashindwa. Tuition yako naisamehe hata kama ingekuwa nalipwa mimi mfundishwaji.

Ni wapi mimi nimeandika kwamba madaktari wanatunyonya? Wewe sasa ndiye 'mlukiaji' wa mada, hata hujasoma vizuri umeanza kuandika kwa kuwa tu unajua kudonoa kwenye keyboard.

Sijui kuna uhusiano kati ya mambo mengi uliyochanganya (majenereta, sayansi, emergency ......) na hii mada ya udaktari? Uite motisha au nini bado ni msamaha kwa lugha nyengine. Kama issue ni kuwa wanakuhudumia kila mtu ni kwa kazi yake na umuhimu wake hapa duniani.

Hapana anayedharau kazi ya mwenzake na wala hapana aliyesema kwamba hawana umuhimu. Kwani daktari akishakuokoa hayo maisha na wewe ukawa huna chakula kwa njaa (mkulima na yeye amegoma) ndiyo utaweza kuishi?

du!nisamehe sana kama nimekukwaza kwa kiswahili changu kibovu na kwa kutoacha nafasi!i hope utakuwa umenisamehe maana uliupata ujumbe na naamini by now umeshajua naandika kwa kudonyoa kama ulivyosema,lakini usijali maana mi si 'ps or anykind of such!'pengine nili ku over estimate kwa kudhani ubongo wako unaweza ku 'grasp' the sensible material na ku discard those which are by anychance seems to be irrelevant!that being said,sidhani kama nilikuambia kazi nyingine hazina umuhimu,sidhani.ukweli zinazidiana kwa sensitivity na hilo mimi na wewe tukikubali au tukikataa haitabadilisha ukweli.naamini ubongo wako utaweza ku grasp ni nini namaanisha maana sitakuwa tayari kuendelea kukuelimisha.
kwenye post yako uliandika 'mnatunyanyada' sijui ulikuwa unamaanisha nini man mi kiswahili mpaka niruddi class sio!?hilo neno ruddi lisome rudi!!
 
Back
Top Bottom