Hii tasnia ualimu ni kama imelaaniwa vile..yani mwalimu ata akiwa na hela vipi,au abadilishe kazi apate ya maana bado utamkuta amekaa kiualimu ualimu tu..kachokaje!
tushachoka na mgomo baridi Sa tunataka real strike, wanaoathirika zaidi kwa Sasa ni watoto aw maskini wenzetu aw kwao hawaji huku katani ...ila dah tuna enjoy sana tunaamka asubuhi kwenda kupiga story tutaanza na za SIASA,soka na udaku na siku hizi mitandao inatupa kampani wenye laptop Sawa wenye I pad ndani YAANI tunasema threads jamii forums na kudiscus watu wamecoment nini, kwa MASLAHI haya mi nao na Sawa tu nikiwa na mzuka ndo naenda class kuzuga otherwise ni story na Misele na pikipiki zetu za mikopo wadogo zetu tunawapa class home
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.